- 
	                        
            
            2 Wafalme 25:13, 14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
13 Pia Wakaldayo walivunja vipandevipande nguzo za shaba+ za nyumba ya Yehova na magari+ na Bahari ya shaba,+ vitu vilivyokuwa katika nyumba ya Yehova, nao wakaipeleka shaba hiyo Babiloni.+ 14 Walichukua pia ndoo za kuondolea majivu, sepetu, mikasi ya kukatia tambi za taa, vikombe, na vyombo vyote vya shaba vilivyotumiwa katika utumishi wa hekaluni.
 
 - 
                                        
 
- 
	                        
            
            Yeremia 52:17, 18Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
17 Pia Wakaldayo walivunja vipandevipande nguzo za shaba+ za nyumba ya Yehova na magari+ na Bahari ya shaba,+ vitu vilivyokuwa katika nyumba ya Yehova, nao wakaipeleka shaba yote hiyo Babiloni.+ 18 Walichukua pia ndoo za kuondolea majivu, sepetu, mikasi ya kukatia tambi za taa, mabakuli,+ vikombe,+ na vyombo vyote vya shaba vilivyotumiwa katika utumishi wa hekaluni.
 
 - 
                                        
 
- 
	                        
            
            Danieli 5:3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
 - 
                            
- 
                                        
3 Basi wakaleta vyombo vya dhahabu vilivyochukuliwa kutoka katika hekalu la Mungu kule Yerusalemu, na mfalme pamoja na wakuu wake, masuria wake na wake zake wadogo wakavitumia kunywea divai.
 
 -