Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 25:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kwa hakika hakuna yeyote anayekutumaini atakayeaibishwa,+

      Lakini aibu inawangoja wale wanaotenda kwa hila bila sababu.+

  • Zaburi 130:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  5 Ninamtumaini Yehova, nafsi yangu yote inamtumaini;

      Ninangoja neno lake.

  • Isaya 25:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  9 Siku hiyo watasema:

      “Tazama! Huyu ndiye Mungu wetu!+

      Tumemtumaini yeye,+

      Naye atatuokoa.+

      Huyu ndiye Yehova!

      Tumemtumaini yeye.

      Na tufurahi na kushangilia katika wokovu wake.”+

  • Isaya 30:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Lakini Yehova anangoja kwa subira* ili kuwaonyesha kibali,+

      Naye atainuka ili kuwaonyesha rehema.+

      Kwa maana Yehova ni Mungu wa haki.+

      Wenye furaha ni wote wanaoendelea kumtarajia.*+

  • Mika 7:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Lakini mimi, nitaendelea kumtazamia Yehova.+

      Nitaonyesha mtazamo wa kumngojea* Mungu wa wokovu wangu.+

      Mungu wangu atanisikia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki