Isaya 40:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Atalitunza* kundi lake kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wanakondoo kwa mkono wake,Naye atawabeba kwenye kifua chake. Atawaongoza kwa upole wale wanaonyonyesha watoto wao.+ Yeremia 23:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 “Kisha nitawakusanya kondoo wangu waliobaki kutoka katika nchi zote ambako nilikuwa nimewatawanya,+ nami nitawarudisha kwenye malisho yao,+ nao watazaana na kuwa wengi.+
11 Atalitunza* kundi lake kama mchungaji.+ Atawakusanya pamoja wanakondoo kwa mkono wake,Naye atawabeba kwenye kifua chake. Atawaongoza kwa upole wale wanaonyonyesha watoto wao.+
3 “Kisha nitawakusanya kondoo wangu waliobaki kutoka katika nchi zote ambako nilikuwa nimewatawanya,+ nami nitawarudisha kwenye malisho yao,+ nao watazaana na kuwa wengi.+