Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ naye atawafuatia, nami nitajipatia utukufu kupitia Farao na jeshi lake lote;+ na Wamisri watajua kwa hakika kwamba mimi ni Yehova.”+ Basi Waisraeli wakafanya hivyo.

  • 2 Wafalme 19:17-19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ee Yehova, ni kweli kwamba wafalme wa Ashuru wameharibu mataifa na nchi zao.+ 18 Nao wameitupa miungu yao motoni, kwa sababu haikuwa miungu+ bali kazi ya mikono ya wanadamu,+ miti na mawe. Ndiyo sababu waliweza kuiangamiza. 19 Lakini sasa, Ee Yehova Mungu wetu, tafadhali tuokoe kutoka mikononi mwake, ili falme zote duniani zijue kwamba wewe peke yako ndiye Mungu, Ee Yehova.”+

  • Zaburi 83:17, 18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Na waaibishwe na kuogopeshwa milele;

      Na wafedheheshwe na kuangamia;

      18 Na watu wajue kwamba wewe, ambaye jina lako ni Yehova,+

      Wewe peke yako ndiye Uliye Juu Zaidi, juu ya dunia yote.+

  • Ezekieli 39:21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 “‘Nitauonyesha wazi utukufu wangu kati ya mataifa, nayo mataifa yote yataona hukumu ambayo nimetekeleza na nguvu nilizoonyesha* kati yao.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki