Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 7:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Lakini Farao hatawasikiliza ninyi, nami nitauweka mkono wangu juu ya Misri na kuyatoa makundi yangu makubwa,* watu wangu, Waisraeli, kutoka katika nchi ya Misri kwa hukumu kubwa.+

  • Kutoka 14:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Nitauacha moyo wa Farao uwe mkaidi,+ naye atawafuatia, nami nitajipatia utukufu kupitia Farao na jeshi lake lote;+ na Wamisri watajua kwa hakika kwamba mimi ni Yehova.”+ Basi Waisraeli wakafanya hivyo.

  • Isaya 37:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini sasa, Ee Yehova Mungu wetu, tuokoe kutoka mikononi mwake, ili falme zote duniani zijue kwamba wewe peke yako ndiye Mungu, Ee Yehova.”+

  • Ezekieli 38:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kama mawingu yanayoifunika nchi, utawashambulia watu wangu Waisraeli. Katika kipindi cha mwisho cha zile siku, nitakuleta uishambulie nchi yangu+ ili mataifa yanijue nitakapojitakasa mwenyewe kupitia wewe mbele ya macho yao, ewe Gogu.”’+

  • Malaki 1:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 “Kwa maana tangu jua linapochomoza mpaka linapotua,* jina langu litakuwa kuu miongoni mwa mataifa.+ Kila mahali dhabihu zitafukizwa moshi, na matoleo yatatolewa kwa jina langu, yakiwa zawadi safi; kwa sababu jina langu litakuwa kuu miongoni mwa mataifa,”+ asema Yehova wa majeshi.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki