Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ezekieli 10:9-13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Nilipokuwa nikitazama, niliona magurudumu manne kando ya makerubi, gurudumu moja kando ya kila kerubi, na magurudumu hayo yalionekana yaking’aa kama jiwe la krisolito.+ 10 Kuhusu mwonekano wake, yote manne yalifanana, yalionekana kama gurudumu moja likiwa katikati ya gurudumu lingine. 11 Yaliposonga, yaliweza kwenda upande wowote kati ya zile pande nne bila kugeuka, kwa maana yalikuwa yakienda upande ambao kichwa kilitazama nayo yalienda bila kugeuka. 12 Miili yao yote, migongo yao, mikono yao, mabawa yao, na yale magurudumu, magurudumu ya wote wanne, yalijaa macho kila mahali.+ 13 Kuhusu yale magurudumu, nilisikia sauti ikiyaita, “Magurudumu yanayozunguka!”

  • Ufunuo 4:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kiumbe hai wa kwanza alikuwa kama simba,+ na kiumbe hai wa pili alikuwa kama ng’ombe dume mchanga,+ na kiumbe hai wa tatu+ alikuwa na uso kama wa mwanadamu, na kiumbe hai wa nne+ alikuwa kama tai anayeruka.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki