Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wafalme 25:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Wakawachinja wana wa Sedekia huku akitazama; kisha Nebukadneza akampofusha macho Sedekia, akamfunga kwa pingu za shaba, na kumpeleka Babiloni.+

  • Ezekieli 19:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Moto ukaenea kutoka kwenye matawi yake* na kuteketeza machipukizi yake na matunda yake,

      Na hakuna tawi lenye nguvu lililobaki, hakuna fimbo ya mfalme ya kutawala.+

      “‘Huo ni wimbo wa huzuni, nao utatumiwa kama wimbo wa huzuni.’”

  • Ezekieli 21:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: ‘Kiondoe kilemba, na ulivue taji.+ Hili halitabaki kama lilivyo.+ Mwinue aliye chini,+ na umshushe aliye juu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki