-
Yeremia 49:2, 3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 “‘Kwa hiyo tazameni! siku zinakuja,’ asema Yehova,
‘Nitakapofanya king’ora cha vita kisikike* dhidi ya jiji la Raba+ la Waamoni.+
Atakuwa kilima chenye ukiwa,
Na miji yake itawashwa moto.’
‘Na Israeli atawamiliki wale walioichukua nchi yake,’+ asema Yehova.
3 ‘Omboleza, ewe Heshboni, kwa maana Ai ameharibiwa!
Lieni kwa sauti, enyi miji ya Raba.
Vaeni nguo za magunia.
-