Yeremia 6:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova wa majeshi anasema hivi: “Kateni miti na mjenge boma la kuzingira Yerusalemu.+ Yeye ni jiji ambalo lazima liadhibiwe;*Hamna lolote ndani yake isipokuwa ukandamizaji.+ Yeremia 32:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Tazama! Watu wamekuja na maboma ya kuzingira ili kuliteka jiji hili,+ na kwa sababu ya upanga,+ njaa kali, na ugonjwa hatari,+ hakika jiji litaanguka mikononi mwa Wakaldayo wanaolishambulia; mambo uliyosema yametimia yote, kama unavyoona sasa.
6 Kwa maana Yehova wa majeshi anasema hivi: “Kateni miti na mjenge boma la kuzingira Yerusalemu.+ Yeye ni jiji ambalo lazima liadhibiwe;*Hamna lolote ndani yake isipokuwa ukandamizaji.+
24 Tazama! Watu wamekuja na maboma ya kuzingira ili kuliteka jiji hili,+ na kwa sababu ya upanga,+ njaa kali, na ugonjwa hatari,+ hakika jiji litaanguka mikononi mwa Wakaldayo wanaolishambulia; mambo uliyosema yametimia yote, kama unavyoona sasa.