Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Mambo ya Nyakati 36:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Zaidi ya hayo, mfalme wa Misri alimweka Eliakimu ndugu ya Yehoahazi kuwa mfalme wa Yuda na Yerusalemu na kubadili jina lake kuwa Yehoyakimu; lakini Neko+ akamchukua Yehoahazi ndugu yake na kumpeleka Misri.+

  • Yeremia 22:18, 19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 “Kwa hiyo Yehova anasema hivi kumhusu Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda,

      ‘Hawatamwombolezea:

      “Aa! ndugu yangu! Aa! dada yangu!”

      Hawatamwombolezea:

      “Aa! Ewe bwana! Aa! mfalme!”

      19 Atazikwa kama anavyozikwa punda,+

      Kwa kukokotwa na kutupwa,

      Nje ya malango ya Yerusalemu.’+

  • Yeremia 36:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Kwa hiyo Yehova anasema hivi dhidi ya Mfalme Yehoyakimu wa Yuda, ‘Hatakuwa na mtu yeyote atakayeketi kwenye kiti cha ufalme cha Daudi,+ na maiti yake itaachwa nje kwenye joto wakati wa mchana na baridi kali wakati wa usiku.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki