18 “Kwa hiyo Yehova anasema hivi kumhusu Yehoyakimu+ mwana wa Yosia, mfalme wa Yuda,
‘Hawatamwombolezea:
“Aa! ndugu yangu! Aa! dada yangu!”
Hawatamwombolezea:
“Aa! Ewe bwana! Aa! mfalme!”
19 Atazikwa kama anavyozikwa punda,+
Kwa kukokotwa na kutupwa,
Nje ya malango ya Yerusalemu.’+