Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Danieli 4:13-16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 “‘Nilipokuwa nikitazama maono ya kichwa changu nikiwa kitandani mwangu, nilimwona mlinzi, mtakatifu, akishuka kutoka mbinguni.+ 14 Akasema hivi kwa sauti kubwa: “Ukateni na kuuangusha mti huu,+ yakateni matawi yake, yapukutisheni majani yake, na kutawanya matunda yake! Wanyama na wakimbie kutoka chini yake, na ndege kutoka kwenye matawi yake. 15 Lakini kiacheni kisiki na mizizi yake ardhini kati ya majani ya shambani, kikiwa na pingu ya chuma na ya shaba. Acheni umande wa mbinguni ukiloweshe, na acheni fungu lake liwe pamoja na wanyama, kati ya majani ya dunia.+ 16 Moyo wake na ubadilishwe usiwe wa mwanadamu, nacho kipewe moyo wa mnyama, na acheni nyakati saba+ zipite.+

  • Luka 21:24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 24 Nao wataangamizwa kwa upanga na watapelekwa utekwani katika mataifa yote;+ na Yerusalemu litakanyagwa-kanyagwa na mataifa,* mpaka nyakati zilizowekwa za mataifa* zitimie.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki