-
Isaya 21:2, 3Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
2 Nimeambiwa maono ya kutisha:
Mwenye hila anatenda kwa hila,
Na mwangamizaji, anaangamiza.
Nenda juu, ewe Elamu! Zingira, ewe Umedi!+
Nitakomesha kilio chote cha uchungu alichosababisha.+
3 Ndiyo sababu nina maumivu makali.*+
Ninafurukuta kwa uchungu,
Uchungu kama wa mwanamke anayezaa.
Nimetaabika sana hivi kwamba siwezi kusikia;
Nimesumbuka sana hivi kwamba siwezi kuona.
-