5 “Na tazama! mnyama mwingine, wa pili, kama dubu.+ Aliinuliwa upande mmoja, na mbavu tatu zilikuwa kinywani mwake kati ya meno yake; naye akaambiwa, ‘Simama, kula nyama nyingi.’+
3 Nilipoinua macho yangu, tazama! kulikuwa na kondoo dume+ aliyesimama mbele ya mfereji huo wa maji, naye alikuwa na pembe mbili.+ Pembe hizo mbili zilikuwa ndefu, lakini moja ilikuwa ndefu kuliko nyingine, na pembe hiyo ndefu ilitokea baadaye.+