Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 32:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Wamechochea hasira yangu kali* kwa kitu ambacho si mungu;+

      Wamenikasirisha kwa sanamu zao za ubatili.+

      Kwa hiyo nitawachochea wawe na wivu kwa wale ambao si taifa;+

      Nitawakasirisha kwa kutumia taifa lenye ujinga.+

      22 Kwa maana hasira yangu imewasha moto+

      Ambao utateketeza mpaka kwenye kina cha Kaburi,*+

      Nao utateketeza dunia na mazao yake

      Na kuchoma moto misingi ya milima.

  • 2 Wafalme 17:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Kwa hiyo Yehova akawakasirikia sana Waisraeli hivi kwamba akawaondoa mbele zake.+ Hakumwacha yeyote abaki isipokuwa watu wa kabila la Yuda peke yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki