Kumbukumbu la Torati 32:21, 22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 Wamechochea hasira yangu kali* kwa kitu ambacho si mungu;+Wamenikasirisha kwa sanamu zao za ubatili.+ Kwa hiyo nitawachochea wawe na wivu kwa wale ambao si taifa;+Nitawakasirisha kwa kutumia taifa lenye ujinga.+ 22 Kwa maana hasira yangu imewasha moto+Ambao utateketeza mpaka kwenye kina cha Kaburi,*+Nao utateketeza dunia na mazao yakeNa kuchoma moto misingi ya milima. 2 Wafalme 17:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Kwa hiyo Yehova akawakasirikia sana Waisraeli hivi kwamba akawaondoa mbele zake.+ Hakumwacha yeyote abaki isipokuwa watu wa kabila la Yuda peke yao.
21 Wamechochea hasira yangu kali* kwa kitu ambacho si mungu;+Wamenikasirisha kwa sanamu zao za ubatili.+ Kwa hiyo nitawachochea wawe na wivu kwa wale ambao si taifa;+Nitawakasirisha kwa kutumia taifa lenye ujinga.+ 22 Kwa maana hasira yangu imewasha moto+Ambao utateketeza mpaka kwenye kina cha Kaburi,*+Nao utateketeza dunia na mazao yakeNa kuchoma moto misingi ya milima.
18 Kwa hiyo Yehova akawakasirikia sana Waisraeli hivi kwamba akawaondoa mbele zake.+ Hakumwacha yeyote abaki isipokuwa watu wa kabila la Yuda peke yao.