Isaya 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Na kutakuwa na barabara kuu+ kutoka Ashuru kwa ajili ya watu wake waliobaki,+Kama ilivyokuwa kwa ajili ya Israeli siku aliyotoka nchini Misri. Isaya 27:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Siku hiyo pembe kubwa itapigwa,+ na wale wanaoangamia katika nchi ya Ashuru+ na wale waliotawanywa katika nchi ya Misri+ watakuja na kumwinamia Yehova kwenye mlima mtakatifu huko Yerusalemu.+ Hosea 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Watatoka Misri wakitetemeka kama ndege,Kama njiwa kutoka nchi ya Ashuru;+Nami nitawapa makao katika nyumba zao,”* asema Yehova.+
16 Na kutakuwa na barabara kuu+ kutoka Ashuru kwa ajili ya watu wake waliobaki,+Kama ilivyokuwa kwa ajili ya Israeli siku aliyotoka nchini Misri.
13 Siku hiyo pembe kubwa itapigwa,+ na wale wanaoangamia katika nchi ya Ashuru+ na wale waliotawanywa katika nchi ya Misri+ watakuja na kumwinamia Yehova kwenye mlima mtakatifu huko Yerusalemu.+
11 Watatoka Misri wakitetemeka kama ndege,Kama njiwa kutoka nchi ya Ashuru;+Nami nitawapa makao katika nyumba zao,”* asema Yehova.+