Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 13:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Na Babiloni, ufalme wenye utukufu zaidi,*+

      Uzuri na fahari ya Wakaldayo,+

      Litakuwa kama Sodoma na Gomora yalipoangamizwa na Mungu.+

  • Yeremia 27:6, 7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Na sasa mimi mwenyewe nimezitia nchi hizi zote mikononi mwa mtumishi wangu Mfalme Nebukadneza+ wa Babiloni; nimempa hata wanyama wa mwituni ili wamtumikie. 7 Mataifa yote yatamtumikia yeye na mwanawe na mjukuu wake mpaka wakati wa nchi yake utakapofika,+ wakati ambapo mataifa mengi na wafalme wakuu watamfanya kuwa mtumwa wao.’+

  • Zekaria 2:7-9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 “Njoo, Ee Sayuni! Kimbia, wewe unayekaa na binti ya Babiloni.+ 8 Kwa maana hivi ndivyo anavyosema Yehova wa majeshi, ambaye baada ya kutukuzwa* amenituma kwa mataifa yaliyokuwa yakiwapora ninyi:+ ‘Yeyote anayewagusa ninyi anaigusa mboni ya jicho langu.*+ 9 Kwa maana sasa nitaupunga mkono wangu dhidi yao, nao watakuwa nyara kwa watumwa wao wenyewe.’+ Na hakika mtajua kwamba Yehova wa majeshi amenituma.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki