Yeremia 25:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “‘Lakini miaka 70 itakapotimia,+ nitamfanya mfalme wa Babiloni awajibike* na pia taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ asema Yehova, ‘nami nitaifanya nchi ya Wakaldayo kuwa mahame na ukiwa daima.+ Yeremia 25:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Kwa maana mataifa mengi na wafalme wakuu+ watawafanya kuwa watumwa,+ nami nitawalipa kulingana na matendo yao na kazi ya mikono yao wenyewe.’”+ Yeremia 51:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 “Isugueni mishale;+ chukueni ngao za mviringo.* Yehova ameichochea roho ya wafalme wa Wamedi,+Kwa sababu anakusudia kuiangamiza Babiloni. Kwa maana hiki ndicho kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.
12 “‘Lakini miaka 70 itakapotimia,+ nitamfanya mfalme wa Babiloni awajibike* na pia taifa hilo kwa sababu ya kosa lao,’+ asema Yehova, ‘nami nitaifanya nchi ya Wakaldayo kuwa mahame na ukiwa daima.+
14 Kwa maana mataifa mengi na wafalme wakuu+ watawafanya kuwa watumwa,+ nami nitawalipa kulingana na matendo yao na kazi ya mikono yao wenyewe.’”+
11 “Isugueni mishale;+ chukueni ngao za mviringo.* Yehova ameichochea roho ya wafalme wa Wamedi,+Kwa sababu anakusudia kuiangamiza Babiloni. Kwa maana hiki ndicho kisasi cha Yehova, kisasi kwa ajili ya hekalu lake.