Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 137:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Ee binti ya Babiloni, uliye karibu kuangamizwa,+

      Mwenye furaha ni yule atakayekupa thawabu yako

      Kwa maovu uliyotutendea.+

  • Yeremia 50:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Mshambulieni Babiloni mkiwa mmejipanga kivita kila upande,

      Ninyi nyote mnaoupinda* upinde.

      Mpigeni mishale, msiuache mshale wowote,+

      Kwa maana amemtendea dhambi Yehova.+

  • Yeremia 50:27
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 27 Waueni ng’ombe dume wake wote wachanga;+

      Na washuke kwenda machinjioni.

      Ole wao, kwa maana siku yao imefika,

      Wakati wao wa kuadhibiwa!*

  • Danieli 5:26
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 26 “Hii ndiyo maana ya maneno hayo: MENE, Mungu amehesabu siku za ufalme wako na kuukomesha.+

  • Danieli 5:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Usiku huohuo Belshaza mfalme wa Wakaldayo aliuawa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki