Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 28:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Kwa hiyo Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi:

      “Tazama, ninaweka jiwe lililojaribiwa liwe msingi katika Sayuni,+

      Jiwe la pembeni lenye thamani+ la msingi imara.+

      Hakuna yeyote anayeonyesha imani atakayeshikwa na wasiwasi.+

  • Luka 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Lakini akawatazama moja kwa moja na kusema: “Basi, andiko hili linamaanisha nini: ‘Jiwe ambalo wajenzi walilikataa, limekuwa jiwe kuu la pembeni’?*+

  • Matendo 4:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Hilo ndilo ‘jiwe ambalo ninyi wajenzi mlilitendea kana kwamba halina maana nalo limekuwa jiwe kuu la pembeni.’*+

  • Waroma 9:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 kama ilivyoandikwa: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe+ la kukwaza na mwamba wa kuangusha, lakini yeye anayemwamini hatakata tamaa.”+

  • Waefeso 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 nanyi mmejengwa juu ya msingi wa mitume na manabii,+ naye Kristo Yesu mwenyewe ndiye jiwe la msingi la pembeni.+

  • 1 Petro 2:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 7 Kwa hiyo, yeye ni mwenye thamani kwenu, kwa sababu ninyi ni waamini; lakini kwa wale wasioamini, “jiwe ambalo wajenzi walilikataa+ limekuwa jiwe kuu la pembeni”*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki