Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 15:22-24
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Basi wakampeleka mahali panapoitwa Golgotha, neno ambalo linapotafsiriwa linamaanisha, “Mahali pa Fuvu la Kichwa.”+ 23 Hapa wakajaribu kumpa divai iliyotiwa kileo cha manemane,+ lakini hakuinywa. 24 Nao wakamtundika kwenye mti na wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura ili kuamua ni nini ambacho kila mtu angechukua.+

  • Luka 23:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Walipofika mahali panapoitwa Fuvu la Kichwa,+ wakamtundika Yesu kwenye mti pamoja na wale wahalifu, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.+

  • Yohana 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yesu akabeba mti wake wa mateso,* akaenda mahali panapoitwa Fuvu la Kichwa,+ au Golgotha katika Kiebrania.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki