-
Marko 15:22-24Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
22 Basi wakampeleka mahali panapoitwa Golgotha, neno ambalo linapotafsiriwa linamaanisha, “Mahali pa Fuvu la Kichwa.”+ 23 Hapa wakajaribu kumpa divai iliyotiwa kileo cha manemane,+ lakini hakuinywa. 24 Nao wakamtundika kwenye mti na wakagawana mavazi yake kwa kuyapigia kura ili kuamua ni nini ambacho kila mtu angechukua.+
-