Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 27:33-37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Na walipofika mahali panapoitwa Golgotha, yaani, Mahali pa Fuvu la Kichwa,+ 34 wakampa divai iliyochanganywa na nyongo* anywe;+ lakini alipoionja, akakataa kuinywa. 35 Baada ya kumtundika kwenye mti, wakagawana mavazi yake ya nje kwa kupiga kura,+ 36 kisha wakaketi hapo wakimlinda. 37 Pia, wakabandika juu ya kichwa chake mashtaka dhidi yake, yalikuwa yameandikwa: “Huyu ni Yesu Mfalme wa Wayahudi.”+

  • Luka 23:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 Walipofika mahali panapoitwa Fuvu la Kichwa,+ wakamtundika Yesu kwenye mti pamoja na wale wahalifu, mmoja upande wake wa kuume na mwingine upande wake wa kushoto.+

  • Yohana 19:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yesu akabeba mti wake wa mateso,* akaenda mahali panapoitwa Fuvu la Kichwa,+ au Golgotha katika Kiebrania.+

  • Waebrania 13:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Kwa hiyo, Yesu pia aliteseka nje ya lango la jiji+ ili awatakase watu kwa damu yake mwenyewe.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki