Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 21:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Yesu akaingia hekaluni na kuwafukuza wote waliokuwa wakiuza na kununua hekaluni, akazipindua meza za wale waliokuwa wakibadili pesa na viti vya wale waliokuwa wakiuza njiwa.+

  • Luka 19:45, 46
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 45 Kisha akaingia hekaluni na kuanza kuwafukuza wale waliokuwa wakiuza,+ 46 akiwaambia: “Imeandikwa, ‘Nyumba yangu itakuwa nyumba ya sala,’+ lakini mmeifanya kuwa pango la wanyang’anyi.”+

  • Yohana 2:14-16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Alipoingia hekaluni akakuta watu wakiuza ng’ombe, kondoo, na njiwa,+ pia, wale waliobadili pesa walikuwa kwenye viti vyao. 15 Basi akatengeneza mjeledi wa kamba na kuwafukuza hekaluni wote waliokuwa na kondoo na ng’ombe, akamwaga sarafu za wale waliobadili pesa na kupindua meza zao.+ 16 Akawaambia wale waliokuwa wakiuza njiwa: “Ondoeni vitu hivi hapa! Acheni kuifanya nyumba ya Baba yangu kuwa nyumba ya biashara!”*+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki