Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 12:46-50
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 46 Alipokuwa bado akizungumza na umati, mama yake na ndugu zake+ walikuwa wamesimama nje, wakitaka kuongea naye.+ 47 Basi mtu fulani akamwambia: “Tazama! Mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kuongea nawe.” 48 Yesu akamjibu mtu huyo: “Mama yangu ni nani, na ndugu zangu ni nani?” 49 Akinyoosha mkono wake kuelekea wanafunzi wake, akasema: “Tazama! Mama yangu na ndugu zangu!+ 50 Kwa maana yeyote anayefanya mapenzi ya Baba yangu aliye mbinguni, huyo ndiye ndugu yangu, dada yangu, na mama yangu.”+

  • Luka 8:19-21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Sasa mama yake na ndugu zake+ wakaja, lakini hawakuweza kumfikia Yesu kwa sababu ya umati.+ 20 Basi akaambiwa: “Mama yako na ndugu zako wamesimama nje, wanataka kukuona.” 21 Akawajibu: “Mama yangu na ndugu zangu ni hawa wanaosikia neno la Mungu na kulitenda.”+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki