Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 103:2, 3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  2 Nafsi yangu na imsifu Yehova;

      Nami nisisahau kamwe mambo yote aliyotenda.+

       3 Husamehe makosa yako yote+

      Na kuyaponya magonjwa yako yote;+

  • Zaburi 130:3, 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Ikiwa ungekuwa unatazama* tu makosa, Ee Yah,*

      Basi ni nani, Ee Yehova, angeweza kusimama?+

       4 Kwa maana wewe hutoa msamaha wa kweli,+

      Ili watu wakuhofu.*+

  • Isaya 43:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 Mimi, mimi ndiye ninayeyafuta kabisa makosa*+ yako kwa ajili yangu,+

      Nami sitazikumbuka dhambi zako.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki