Zaburi 103:2, 3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Nafsi yangu na imsifu Yehova;Nami nisisahau kamwe mambo yote aliyotenda.+ 3 Husamehe makosa yako yote+Na kuyaponya magonjwa yako yote;+ Zaburi 130:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ikiwa ungekuwa unatazama* tu makosa, Ee Yah,*Basi ni nani, Ee Yehova, angeweza kusimama?+ 4 Kwa maana wewe hutoa msamaha wa kweli,+Ili watu wakuhofu.*+ Isaya 43:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mimi, mimi ndiye ninayeyafuta kabisa makosa*+ yako kwa ajili yangu,+Nami sitazikumbuka dhambi zako.+
2 Nafsi yangu na imsifu Yehova;Nami nisisahau kamwe mambo yote aliyotenda.+ 3 Husamehe makosa yako yote+Na kuyaponya magonjwa yako yote;+ Zaburi 130:3, 4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Ikiwa ungekuwa unatazama* tu makosa, Ee Yah,*Basi ni nani, Ee Yehova, angeweza kusimama?+ 4 Kwa maana wewe hutoa msamaha wa kweli,+Ili watu wakuhofu.*+ Isaya 43:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Mimi, mimi ndiye ninayeyafuta kabisa makosa*+ yako kwa ajili yangu,+Nami sitazikumbuka dhambi zako.+
3 Ikiwa ungekuwa unatazama* tu makosa, Ee Yah,*Basi ni nani, Ee Yehova, angeweza kusimama?+ 4 Kwa maana wewe hutoa msamaha wa kweli,+Ili watu wakuhofu.*+
25 Mimi, mimi ndiye ninayeyafuta kabisa makosa*+ yako kwa ajili yangu,+Nami sitazikumbuka dhambi zako.+