Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 18:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Yehova Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu. Ni lazima mumsikilize.+

  • Yohana 6:14, 15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Watu walipoona muujiza aliofanya, wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii aliyepaswa kuja ulimwenguni.”+ 15 Kisha Yesu akijua walitaka kuja kumkamata wamfanye awe mfalme, akaondoka+ tena akaenda mlimani akiwa peke yake.+

  • Yohana 7:37
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 37 Katika siku ya mwisho, siku kuu ya sherehe,+ Yesu alisimama na kusema kwa sauti kubwa: “Ikiwa yeyote ana kiu, na aje kwangu anywe maji.+

  • Yohana 7:40
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 40 Baadhi ya watu katika umati waliosikia maneno hayo wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii.”+

  • Matendo 3:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Kwa kweli, Musa alisema: ‘Yehova* Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu.+ Ni lazima msikilize kile atakachowaambia.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki