Kumbukumbu la Torati 18:15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 15 Yehova Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu. Ni lazima mumsikilize.+ Yohana 6:14, 15 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Watu walipoona muujiza aliofanya, wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii aliyepaswa kuja ulimwenguni.”+ 15 Kisha Yesu akijua walitaka kuja kumkamata wamfanye awe mfalme, akaondoka+ tena akaenda mlimani akiwa peke yake.+ Yohana 7:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Katika siku ya mwisho, siku kuu ya sherehe,+ Yesu alisimama na kusema kwa sauti kubwa: “Ikiwa yeyote ana kiu, na aje kwangu anywe maji.+ Yohana 7:40 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 40 Baadhi ya watu katika umati waliosikia maneno hayo wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii.”+ Matendo 3:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa kweli, Musa alisema: ‘Yehova* Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu.+ Ni lazima msikilize kile atakachowaambia.+
14 Watu walipoona muujiza aliofanya, wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii aliyepaswa kuja ulimwenguni.”+ 15 Kisha Yesu akijua walitaka kuja kumkamata wamfanye awe mfalme, akaondoka+ tena akaenda mlimani akiwa peke yake.+
37 Katika siku ya mwisho, siku kuu ya sherehe,+ Yesu alisimama na kusema kwa sauti kubwa: “Ikiwa yeyote ana kiu, na aje kwangu anywe maji.+
40 Baadhi ya watu katika umati waliosikia maneno hayo wakaanza kusema: “Kwa kweli huyu ndiye Nabii.”+
22 Kwa kweli, Musa alisema: ‘Yehova* Mungu wenu atawainulia nabii kama mimi kutoka kati ya ndugu zenu.+ Ni lazima msikilize kile atakachowaambia.+