Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 20:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Yesu akamwambia: “Acha kuning’ang’ania, kwa maana bado sijapanda kwenda kwa Baba. Lakini nenda kwa ndugu zangu,+ nawe uwaambie, ‘Ninapanda kwenda kwa Baba yangu+ na Baba yenu na kwa Mungu wangu+ na Mungu wenu.’”

  • 1 Wakorintho 11:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Lakini ninataka mjue kwamba kichwa cha kila mwanamume ni Kristo;+ nacho kichwa cha mwanamke ni mwanamume;+ nacho kichwa cha Kristo ni Mungu.+

  • 1 Wakorintho 15:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Lakini vitu vyote vitakapotiishwa kwake, ndipo Mwana mwenyewe atakapojitiisha pia kwa Yule aliyevitiisha vitu vyote kwake,+ ili Mungu awe vitu vyote kwa kila mtu.+

  • Wafilipi 2:5, 6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Iweni na mtazamo huu wa akili ambao pia Kristo Yesu alikuwa nao,+ 6 ambaye, ingawa alikuwa katika umbo la Mungu,+ hakufikiria kufanya unyakuzi, yaani, kwamba yeye awe sawa na Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki