Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Yohana 6:68
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 68 Simoni Petro akamjibu: “Bwana, tutaenda kwa nani?+ Wewe una maneno ya uzima wa milele.+

  • Yohana 8:28
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 28 Kisha Yesu akasema: “Baada ya kumwinua Mwana wa binadamu,+ ndipo mtakapojua kwamba mimi ndiye+ na kwamba sifanyi jambo lolote kwa uamuzi wangu mwenyewe;+ bali mambo ambayo Baba amenifundisha, ndiyo ninayosema.

  • Yohana 12:49
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 49 Kwa maana sijasema kwa uamuzi wangu mwenyewe, bali Baba aliyenituma amenipa amri kuhusu jambo la kutangaza na la kusema.+

  • Yohana 14:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Je, huamini kwamba mimi nimo katika muungano pamoja na Baba, naye Baba yumo katika muungano pamoja nami?+ Mambo ninayowaambia sisemi kwa kujitungia,+ bali Baba ambaye hukaa katika muungano pamoja nami anafanya kazi zake.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki