Mwanzo 49:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Fimbo ya ufalme haitaondoka Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo* atakapokuja,+ na mataifa yatamtii.+ Mathayo 1:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 1 Kitabu cha historia ya* Yesu Kristo,* mwana wa Daudi,+ mwana wa Abrahamu:+ Mathayo 1:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Yuda akawa baba ya Perezi na Zera+ kupitia Tamari; Perezi akawa baba ya Hezroni;+ Hezroni akawa baba ya Ramu;+ Luka 3:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Yesu+ alikuwa na umri wa miaka 30 hivi alipoanza kazi yake,+ akiwa mwana, kama alivyoonwa,wa Yosefu,+mwana wa Heli, Luka 3:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 mwana wa Aminadabu,mwana wa Arni,mwana wa Hezroni,mwana wa Perezi,+mwana wa Yuda,+ Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025) Toka Ingia Kiswahili Shiriki Mapendezi Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania Masharti ya Utumiaji Sera ya Faragha Mpangilio wa Faragha JW.ORG Ingia Shiriki Shiriki Kupitia Barua-pepe
10 Fimbo ya ufalme haitaondoka Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo* atakapokuja,+ na mataifa yatamtii.+
3 Yuda akawa baba ya Perezi na Zera+ kupitia Tamari; Perezi akawa baba ya Hezroni;+ Hezroni akawa baba ya Ramu;+
23 Yesu+ alikuwa na umri wa miaka 30 hivi alipoanza kazi yake,+ akiwa mwana, kama alivyoonwa,wa Yosefu,+mwana wa Heli, Luka 3:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 mwana wa Aminadabu,mwana wa Arni,mwana wa Hezroni,mwana wa Perezi,+mwana wa Yuda,+