Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 49:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Fimbo ya ufalme haitaondoka Yuda,+ wala fimbo ya kiongozi kutoka katikati ya miguu yake, mpaka Shilo* atakapokuja,+ na mataifa yatamtii.+

  • Mathayo 1:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 1 Kitabu cha historia ya* Yesu Kristo,* mwana wa Daudi,+ mwana wa Abrahamu:+

  • Mathayo 1:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Yuda akawa baba ya Perezi na Zera+ kupitia Tamari;

      Perezi akawa baba ya Hezroni;+

      Hezroni akawa baba ya Ramu;+

  • Luka 3:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Yesu+ alikuwa na umri wa miaka 30 hivi alipoanza kazi yake,+ akiwa mwana, kama alivyoonwa,

      wa Yosefu,+

      mwana wa Heli,

  • Luka 3:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 mwana wa Aminadabu,

      mwana wa Arni,

      mwana wa Hezroni,

      mwana wa Perezi,+

      mwana wa Yuda,+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki