-
Waefeso 1:13, 14Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
13 Lakini ninyi pia mlimtumaini baada ya kulisikia neno la kweli, habari njema kuhusu wokovu wenu. Baada ya kuamini, mlitiwa muhuri+ kupitia kwake kwa roho takatifu iliyoahidiwa, 14 ambayo ni rehani ya mapema* ya urithi wetu,+ kwa kusudi la kuachilia huru mali ya Mungu mwenyewe+ kupitia fidia,+ kwa sifa yake yenye utukufu.
-