Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 2 Wakorintho 10
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

2 Wakorintho—Yaliyomo

      • Paulo aitetea huduma yake (1-18)

        • Silaha zetu si za kimwili (4, 5)

2 Wakorintho 10:1

Marejeo

  • +Mt 11:29, 30
  • +1Ko 2:3
  • +2Ko 10:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    4/1/2003, uku. 24

    8/1/1994, kur. 15-16

  • Fahirishi ya Machapisho

    w03 4/1 24

2 Wakorintho 10:3

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Kutoa Sababu, uku. 135

  • Fahirishi ya Machapisho

    rs 135

2 Wakorintho 10:4

Marejeo

  • +Mt 26:52; 1Ti 1:18, 19
  • +2Ko 6:4, 7

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    9/2016, kur. 8-9

    Mnara wa Mlinzi (2010),

    2/15/2010, kur. 12-13

    9/15/2009, uku. 22

    10/1/1999, kur. 11-12

    2/1/1994, uku. 12

    Kutoa Sababu, uku. 135

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 2/15 12-13; w09 9/15 22; rs 135; w99 10/1 11-12

2 Wakorintho 10:5

Marejeo

  • +1Ko 1:19, 20; 3:19, 20; 2Ti 2:24, 25

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi (Funzo),

    6/2019, kur. 8-13

    Ufahamu, uku. 591

    Mnara wa Mlinzi,

    8/15/2013, uku. 27

    2/15/2010, kur. 12-13

    10/1/1999, kur. 11-12

    2/1/1994, uku. 12

    2/1/1987, uku. 10

    Amkeni!,

    6/8/1994, uku. 21

  • Fahirishi ya Machapisho

    w10 2/15 12-13; w99 10/1 11-12

2 Wakorintho 10:6

Marejeo

  • +1Ti 1:20

2 Wakorintho 10:8

Marejeo

  • +Ebr 13:17

2 Wakorintho 10:10

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    6/15/2000, uku. 13

    11/15/1996, uku. 13

  • Fahirishi ya Machapisho

    w00 6/15 13; w96 11/15 13

2 Wakorintho 10:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “jinsi tulivyo katika maneno.”

  • *

    Tnn., “tutakuwa hivyo pia katika matendo.”

Marejeo

  • +2Ko 13:2

2 Wakorintho 10:12

Marejeo

  • +2Ko 5:12
  • +Met 26:12; Gal 6:3

2 Wakorintho 10:13

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “alitugawia kwa kipimo.”

Marejeo

  • +Mdo 9:15; Gal 2:8

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Mnara wa Mlinzi,

    7/15/2008, uku. 28

  • Fahirishi ya Machapisho

    w08 7/15 28

2 Wakorintho 10:14

Marejeo

  • +1Ko 3:10; 4:15

2 Wakorintho 10:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Yer 9:24; 1Ko 1:31

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Amkeni!,

    7/8/1999, kur. 20-21

  • Fahirishi ya Machapisho

    g99 7/8 20-21

2 Wakorintho 10:18

Maelezo ya Chini

  • *

    Angalia Nyongeza A5.

Marejeo

  • +Lu 18:10-14
  • +1Ko 4:5; 2Ti 2:15

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

2 Kor. 10:1Mt 11:29, 30
2 Kor. 10:11Ko 2:3
2 Kor. 10:12Ko 10:10
2 Kor. 10:4Mt 26:52; 1Ti 1:18, 19
2 Kor. 10:42Ko 6:4, 7
2 Kor. 10:51Ko 1:19, 20; 3:19, 20; 2Ti 2:24, 25
2 Kor. 10:61Ti 1:20
2 Kor. 10:8Ebr 13:17
2 Kor. 10:112Ko 13:2
2 Kor. 10:122Ko 5:12
2 Kor. 10:12Met 26:12; Gal 6:3
2 Kor. 10:13Mdo 9:15; Gal 2:8
2 Kor. 10:141Ko 3:10; 4:15
2 Kor. 10:17Yer 9:24; 1Ko 1:31
2 Kor. 10:18Lu 18:10-14
2 Kor. 10:181Ko 4:5; 2Ti 2:15
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
2 Wakorintho 10:1-18

Barua ya Pili kwa Wakorintho

10 Basi mimi mwenyewe, Paulo, ninawasihi kwa upole na fadhili za Kristo,+ ingawa mimi ni wa hali ya chini ninapokuwa kati yenu uso kwa uso,+ lakini jasiri kuwaelekea ninyi nisipokuwapo.+ 2 Ninaomba kwamba nitakapokuwapo, nisilazimike kuwa jasiri na kuchukua hatua kali ambazo ninakusudia dhidi ya wale wanaotuona kana kwamba tulitembea kwa njia ya kimwili. 3 Kwa maana ingawa tunatembea katika mwili, hatupigani vita kulingana na vile tulivyo katika mwili. 4 Kwa maana silaha za vita vyetu si za kimwili,+ bali ni zenye nguvu kupitia Mungu+ kwa ajili ya kuzipindua ngome zenye nguvu. 5 Kwa maana tunapindua mawazo na kila jambo lililo juu sana ambalo limeinuliwa kinyume cha ujuzi wa Mungu,+ nasi tunaiteka kila fikira ili kuifanya imtii Kristo; 6 nasi tuko tayari kutoa adhabu kwa ajili ya kila tendo la kutotii,+ mara tu utii wenu utakapokamilika.

7 Mnayatazama mambo kulingana na thamani yake ya nje. Mtu yeyote akijiamini kwamba yeye ni wa Kristo, acheni afikirie tena jambo hili: Kama vile yeye alivyo wa Kristo, ndivyo na sisi pia. 8 Kwa maana hata nikijisifu sana kuhusu mamlaka ambayo Bwana alitupatia ili tuwajenge wala si kuwabomoa ninyi,+ mimi sitaaibishwa. 9 Kwa maana sitaki ionekane kama ninajaribu kuwatisha kwa barua zangu. 10 Kwa maana wanasema: “Barua zake ni nzito na zenye nguvu, lakini akiwapo yeye mwenyewe, ni dhaifu na maneno yake ni yenye kudharaulika.” 11 Mtu kama huyo ajue kwamba mambo tunayosema* kupitia barua tusipokuwapo, tutayafanya pia* tutakapokuwapo.+ 12 Kwa maana sisi hatuthubutu kujiweka katika kikundi au kujilinganisha na watu fulani wanaojipendekeza wenyewe.+ Lakini wanapojipima wenyewe kwa wenyewe na kujilinganisha wenyewe kwa wenyewe, hawana uelewaji.+

13 Hata hivyo, hatutajisifu nje ya mipaka tuliyogawiwa, bali katika mpaka wa eneo ambalo Mungu alitupimia,* na kuufanya ufike hadi kwenu.+ 14 Kwa kweli, sisi hatuvuki mpaka wetu kana kwamba hatukuwafikia ninyi, kwa maana tulikuwa wa kwanza kufika hadi kwenu tukiwa na habari njema kuhusu Kristo.+ 15 Hapana, hatujisifu kuhusu kazi za mtu mwingine nje ya mipaka tuliyogawiwa, bali tunatumaini kwamba imani yenu inapozidi kuongezeka, mambo tuliyofanya yatazidi kuongezeka katika eneo letu. Ndipo tutazidi hata zaidi, 16 ili tutangaze habari njema katika nchi zilizo ng’ambo yenu, na hivyo tusijisifu kuhusu mambo ambayo tayari yamefanywa katika eneo la mtu mwingine. 17 “Lakini yule anayejisifu, na ajisifu katika Yehova.”*+ 18 Kwa maana si yule anayejipendekeza ambaye hukubaliwa,+ bali ni yule ambaye Yehova* humpendekeza.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki