Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 23
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Daudi awapanga Walawi (1-32)

        • Haruni na wanawe watengwa kando (13)

1 Mambo ya Nyakati 23:1

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “akiwa amezeeka na akiwa amejaa siku.”

Marejeo

  • +1Fa 1:33, 39; 1Nya 28:5

1 Mambo ya Nyakati 23:2

Marejeo

  • +Kut 29:8, 9
  • +Hes 3:6

1 Mambo ya Nyakati 23:3

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “kichwa kwa kichwa.”

Marejeo

  • +Hes 4:2, 3

1 Mambo ya Nyakati 23:4

Marejeo

  • +Kum 16:18; 1Nya 26:29; 2Nya 19:8

1 Mambo ya Nyakati 23:5

Marejeo

  • +1Nya 26:12
  • +1Nya 6:31, 32

1 Mambo ya Nyakati 23:6

Maelezo ya Chini

  • *

    Au “akawagawa.”

Marejeo

  • +2Nya 8:14; 31:2
  • +Kut 6:16

1 Mambo ya Nyakati 23:8

Marejeo

  • +1Nya 26:21, 22

1 Mambo ya Nyakati 23:9

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

1 Mambo ya Nyakati 23:11

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

1 Mambo ya Nyakati 23:12

Marejeo

  • +Kut 6:21
  • +Kut 6:18

1 Mambo ya Nyakati 23:13

Marejeo

  • +Kut 4:14
  • +Kut 6:20, 26
  • +Kut 28:1
  • +Law 9:22; Hes 6:23-27; Kum 21:5

1 Mambo ya Nyakati 23:15

Marejeo

  • +Kut 2:21, 22
  • +Kut 18:3, 4

1 Mambo ya Nyakati 23:16

Marejeo

  • +1Nya 26:24

1 Mambo ya Nyakati 23:17

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana.”

Marejeo

  • +1Nya 26:25

1 Mambo ya Nyakati 23:18

Marejeo

  • +1Nya 24:20, 22
  • +Hes 3:27

1 Mambo ya Nyakati 23:19

Marejeo

  • +1Nya 24:20, 23

1 Mambo ya Nyakati 23:20

Marejeo

  • +Kut 6:22

1 Mambo ya Nyakati 23:21

Marejeo

  • +Kut 6:19

1 Mambo ya Nyakati 23:22

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “ndugu zao.”

1 Mambo ya Nyakati 23:24

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

  • *

    Yaani, ukoo wa upande wa baba.

1 Mambo ya Nyakati 23:25

Marejeo

  • +2Sa 7:1
  • +1Fa 8:12, 13; Zb 135:21

1 Mambo ya Nyakati 23:26

Marejeo

  • +Hes 4:15

1 Mambo ya Nyakati 23:28

Marejeo

  • +Hes 3:9
  • +1Fa 6:36

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya, uku. 2035

1 Mambo ya Nyakati 23:29

Maelezo ya Chini

  • *

    Yaani, mikate ya wonyesho.

Marejeo

  • +Law 24:5, 6; 1Nya 9:32
  • +Kut 29:1, 2; Law 2:4
  • +Law 7:12

1 Mambo ya Nyakati 23:30

Marejeo

  • +Kut 29:39
  • +1Nya 16:4, 37

1 Mambo ya Nyakati 23:31

Marejeo

  • +Kut 20:10
  • +Hes 10:10; Zb 81:3
  • +Kum 16:16

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 23:11Fa 1:33, 39; 1Nya 28:5
1 Nya. 23:2Kut 29:8, 9
1 Nya. 23:2Hes 3:6
1 Nya. 23:3Hes 4:2, 3
1 Nya. 23:4Kum 16:18; 1Nya 26:29; 2Nya 19:8
1 Nya. 23:51Nya 26:12
1 Nya. 23:51Nya 6:31, 32
1 Nya. 23:62Nya 8:14; 31:2
1 Nya. 23:6Kut 6:16
1 Nya. 23:81Nya 26:21, 22
1 Nya. 23:12Kut 6:21
1 Nya. 23:12Kut 6:18
1 Nya. 23:13Kut 4:14
1 Nya. 23:13Kut 6:20, 26
1 Nya. 23:13Kut 28:1
1 Nya. 23:13Law 9:22; Hes 6:23-27; Kum 21:5
1 Nya. 23:15Kut 2:21, 22
1 Nya. 23:15Kut 18:3, 4
1 Nya. 23:161Nya 26:24
1 Nya. 23:171Nya 26:25
1 Nya. 23:181Nya 24:20, 22
1 Nya. 23:18Hes 3:27
1 Nya. 23:191Nya 24:20, 23
1 Nya. 23:20Kut 6:22
1 Nya. 23:21Kut 6:19
1 Nya. 23:252Sa 7:1
1 Nya. 23:251Fa 8:12, 13; Zb 135:21
1 Nya. 23:26Hes 4:15
1 Nya. 23:28Hes 3:9
1 Nya. 23:281Fa 6:36
1 Nya. 23:29Law 24:5, 6; 1Nya 9:32
1 Nya. 23:29Kut 29:1, 2; Law 2:4
1 Nya. 23:29Law 7:12
1 Nya. 23:30Kut 29:39
1 Nya. 23:301Nya 16:4, 37
1 Nya. 23:31Kut 20:10
1 Nya. 23:31Hes 10:10; Zb 81:3
1 Nya. 23:31Kum 16:16
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 23:1-32

Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

23 Daudi alipokuwa amezeeka na kukaribia mwisho wa maisha yake,* alimweka Sulemani mwanawe kuwa mfalme wa Israeli.+ 2 Akawakusanya wakuu wote wa Israeli, makuhani,+ na Walawi.+ 3 Walawi waliokuwa na umri wa miaka 30 na zaidi walihesabiwa;+ idadi yao, mwanamume kwa mwanamume,* ilikuwa 38,000. 4 Walawi 24,000 kati yao walikuwa wasimamizi wa kazi ya nyumba ya Yehova, na kulikuwa na maofisa na waamuzi 6,000,+ 5 na walinzi 4,000 wa malango,+ na watu 4,000 walimsifu+ Yehova kwa ala ambazo Daudi alisema hivi kuzihusu: “Nilizitengeneza ili zitumiwe kumsifu Mungu.”

6 Kisha Daudi akawapanga* katika vikundi+ kulingana na wana hawa wa Lawi: Gershoni, Kohathi, na Merari.+ 7 Kutoka kwa Wagershoni: Ladani na Shimei. 8 Wana wa Ladani walikuwa Yehieli kiongozi wao, Zethamu, na Yoeli,+ wana watatu. 9 Wana wa Shimei walikuwa Shelomothi, Hazieli, na Harani, wana watatu. Hao walikuwa viongozi wa koo* za Ladani. 10 Na wana wa Shimei walikuwa Yahathi, Zina, Yeushi, na Beria. Hao wanne walikuwa wana wa Shimei. 11 Yahathi alikuwa kiongozi na wa pili alikuwa Ziza. Lakini kwa kuwa Yeushi na Beria hawakuwa na wana wengi, walihesabiwa kama ukoo* mmoja nao walipewa majukumu yaleyale.

12 Wana wa Kohathi walikuwa Amramu, Ishari,+ Hebroni, na Uzieli,+ wana wanne. 13 Wana wa Amramu walikuwa Haruni+ na Musa.+ Lakini Haruni alitengwa kando daima+ ili atakase Patakatifu Zaidi, yeye na wanawe, ili watoe dhabihu mbele za Yehova, wamhudumie, na kutangaza baraka katika jina lake sikuzote.+ 14 Majina ya wana wa Musa, mtu wa Mungu wa kweli, yaliorodheshwa miongoni mwa kabila la Walawi. 15 Wana wa Musa walikuwa Gershomu+ na Eliezeri.+ 16 Shebueli+ alikuwa kiongozi wa wana wa Gershomu. 17 Rehabia+ alikuwa kiongozi wa wazao* wa Eliezeri; Eliezeri hakuwa na wana wengine, lakini wana wa Rehabia walikuwa wengi sana. 18 Shelomithi+ alikuwa kiongozi wa wana wa Ishari.+ 19 Wana wa Hebroni walikuwa Yeria kiongozi wao, wa pili Amaria, wa tatu Yahazieli, na wa nne Yekameamu.+ 20 Wana wa Uzieli+ walikuwa Mika kiongozi wao na wa pili Ishia.

21 Wana wa Merari walikuwa Mali na Mushi.+ Wana wa Mali walikuwa Eleazari na Kishi. 22 Eleazari alikufa, lakini hakuwa na wana ila mabinti tu. Basi wana wa Kishi, watu wao wa ukoo,* waliwaoa. 23 Wana wa Mushi walikuwa Mali, Ederi, na Yeremothi, wana watatu.

24 Hao ndio waliokuwa wana wa Lawi kulingana na koo zao,* viongozi wa koo zao,* wale walioandikishwa na kuhesabiwa na kuorodheshwa kulingana na majina yao na ambao walitekeleza kazi ya utumishi wa nyumba ya Yehova, kuanzia umri wa miaka 20 na zaidi. 25 Kwa maana Daudi alikuwa amesema hivi: “Yehova Mungu wa Israeli amewapumzisha watu wake,+ naye atakaa Yerusalemu milele.+ 26 Pia Walawi hawatalazimika kubeba hema la ibada wala chombo chake chochote kinachotumiwa katika utumishi wa hema hilo.”+ 27 Kwa maana kulingana na maagizo ya mwisho ya Daudi, Walawi wenye umri wa miaka 20 na zaidi walihesabiwa. 28 Jukumu lao lilikuwa kuwasaidia wana wa Haruni+ katika utumishi wa nyumba ya Yehova, kusimamia nyua,+ vyumba vya kulia chakula, kukitakasa kila kitu kitakatifu, na kazi yoyote iliyohitaji kufanywa katika utumishi wa nyumba ya Mungu wa kweli. 29 Waliwasaidia katika kazi ya mikate ya tabaka,*+ unga laini wa toleo la nafaka, mikate myembamba isiyo na chachu,+ keki zilizookwa, unga wa kukandwa uliochanganywa,+ na vipimo vyote vya wingi na ukubwa. 30 Walipaswa kusimama asubuhi baada ya asubuhi+ ili kumshukuru na kumsifu Yehova, na walipaswa kufanya hivyo jioni pia.+ 31 Walisaidia wakati wowote ambapo dhabihu za kuteketezwa zilitolewa kwa Yehova nyakati za Sabato,+ miezi mipya,+ na wakati wa sherehe za majira,+ kulingana na idadi iliyoamriwa katika sheria kuzihusu, nao walifanya hivyo kwa ukawaida mbele za Yehova. 32 Walitimiza pia majukumu yao kuhusiana na hema la mkutano, mahali patakatifu, na kuhusiana na ndugu zao wana wa Haruni katika utumishi wa nyumba ya Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki