Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Mambo ya Nyakati 3
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

1 Mambo ya Nyakati—Yaliyomo

      • Wazao wa Daudi (1-9)

      • Uzao wa kifalme wa Daudi (10-24)

1 Mambo ya Nyakati 3:1

Marejeo

  • +2Sa 3:2-5
  • +2Sa 13:32
  • +1Sa 25:43
  • +1Sa 25:2, 39

1 Mambo ya Nyakati 3:2

Marejeo

  • +2Sa 13:28, 37; 15:10; 18:14
  • +1Fa 1:5, 11; 2:24

1 Mambo ya Nyakati 3:4

Marejeo

  • +2Sa 5:5

1 Mambo ya Nyakati 3:5

Marejeo

  • +2Sa 5:13-16; 1Nya 14:3-7
  • +Lu 3:23, 31
  • +Mt 1:7
  • +2Sa 11:3, 27

1 Mambo ya Nyakati 3:9

Marejeo

  • +2Sa 13:1

1 Mambo ya Nyakati 3:10

Marejeo

  • +1Fa 11:43
  • +2Nya 13:1
  • +2Nya 14:1
  • +2Nya 20:31

1 Mambo ya Nyakati 3:11

Marejeo

  • +2Nya 21:5
  • +2Nya 22:2
  • +2Nya 24:1

1 Mambo ya Nyakati 3:12

Marejeo

  • +2Nya 25:1
  • +2Fa 14:21
  • +2Nya 27:1

1 Mambo ya Nyakati 3:13

Marejeo

  • +2Nya 28:1
  • +2Nya 29:1
  • +2Fa 21:1

1 Mambo ya Nyakati 3:14

Marejeo

  • +2Fa 21:19
  • +2Fa 22:1

1 Mambo ya Nyakati 3:15

Marejeo

  • +2Fa 23:34; 2Nya 36:5
  • +2Fa 24:17; 2Nya 36:11

1 Mambo ya Nyakati 3:16

Marejeo

  • +2Fa 24:6, 8; 25:27; Est 2:6

1 Mambo ya Nyakati 3:17

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 9

    7/15/1992, kur. 5-6

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 9

1 Mambo ya Nyakati 3:19

Marejeo

  • +Ezr 5:2; Mt 1:12; Lu 3:23, 27

Fahirisi Mbalimbali

  • Mwongozo wa Utafiti

    The Watchtower,

    10/1/2005, uku. 9

  • Fahirishi ya Machapisho

    w05 10/1 9

1 Mambo ya Nyakati 3:21

Maelezo ya Chini

  • *

    Tnn., “wana.”

  • *

    Tnn., “wana.”

  • *

    Tnn., “wana.”

  • *

    Tnn., “wana.”

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

1 Nya. 3:12Sa 3:2-5
1 Nya. 3:12Sa 13:32
1 Nya. 3:11Sa 25:43
1 Nya. 3:11Sa 25:2, 39
1 Nya. 3:22Sa 13:28, 37; 15:10; 18:14
1 Nya. 3:21Fa 1:5, 11; 2:24
1 Nya. 3:42Sa 5:5
1 Nya. 3:52Sa 5:13-16; 1Nya 14:3-7
1 Nya. 3:5Lu 3:23, 31
1 Nya. 3:5Mt 1:7
1 Nya. 3:52Sa 11:3, 27
1 Nya. 3:92Sa 13:1
1 Nya. 3:101Fa 11:43
1 Nya. 3:102Nya 13:1
1 Nya. 3:102Nya 14:1
1 Nya. 3:102Nya 20:31
1 Nya. 3:112Nya 21:5
1 Nya. 3:112Nya 22:2
1 Nya. 3:112Nya 24:1
1 Nya. 3:122Nya 25:1
1 Nya. 3:122Fa 14:21
1 Nya. 3:122Nya 27:1
1 Nya. 3:132Nya 28:1
1 Nya. 3:132Nya 29:1
1 Nya. 3:132Fa 21:1
1 Nya. 3:142Fa 21:19
1 Nya. 3:142Fa 22:1
1 Nya. 3:152Fa 23:34; 2Nya 36:5
1 Nya. 3:152Fa 24:17; 2Nya 36:11
1 Nya. 3:162Fa 24:6, 8; 25:27; Est 2:6
1 Nya. 3:19Ezr 5:2; Mt 1:12; Lu 3:23, 27
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
1 Mambo ya Nyakati 3:1-24

Kitabu cha Kwanza cha Mambo ya Nyakati

3 Hawa ndio wana wa Daudi waliozaliwa Hebroni:+ mzaliwa wa kwanza aliitwa Amnoni,+ mama yake aliitwa Ahinoamu+ kutoka Yezreeli; wa pili, Danieli, mama yake aliitwa Abigaili+ Mkarmeli; 2 wa tatu, Absalomu,+ mwana wa Maaka binti ya Talmai mfalme wa Geshuri; wa nne, Adoniya+ mwana wa Hagithi; 3 wa tano, Shefatia, ambaye mama yake aliitwa Abitali; na wa sita, Ithreamu, ambaye mama yake aliitwa Egla, mke wa Daudi. 4 Aliwazaa wana hao sita kule Hebroni; alitawala huko kwa miaka 7 na miezi 6, naye alitawala kule Yerusalemu kwa miaka 33.+

5 Aliwazaa wana wafuatao huko Yerusalemu:+ Shimea, Shobabu, Nathani,+ na Sulemani;+ mama ya wana hao wanne alikuwa Bath-sheba+ binti ya Amieli. 6 Alikuwa na wana wengine tisa ambao ni Ibhari, Elishama, Elifeleti, 7 Noga, Nefegi, Yafia, 8 Elishama, Eliada, na Elifeleti. 9 Hao wote walikuwa wana wa Daudi, bila kuhesabu wana wa masuria, na dada yao alikuwa Tamari.+

10 Mwana wa Sulemani alikuwa Rehoboamu;+ mwana wa Rehoboamu alikuwa Abiya,+ mwana wa Abiya alikuwa Asa,+ mwana wa Asa alikuwa Yehoshafati,+ 11 mwana wa Yehoshafati alikuwa Yehoramu,+ mwana wa Yehoramu alikuwa Ahazia,+ mwana wa Ahazia alikuwa Yehoashi,+ 12 mwana wa Yehoashi alikuwa Amazia,+ mwana wa Amazia alikuwa Azaria,+ mwana wa Azaria alikuwa Yothamu,+ 13 mwana wa Yothamu alikuwa Ahazi,+ mwana wa Ahazi alikuwa Hezekia,+ mwana wa Hezekia alikuwa Manase,+ 14 mwana wa Manase alikuwa Amoni,+ mwana wa Amoni alikuwa Yosia.+ 15 Wana wa Yosia walikuwa Yohanani mzaliwa wa kwanza, wa pili, Yehoyakimu,+ wa tatu, Sedekia,+ wa nne, Shalumu. 16 Wana wa Yehoyakimu walikuwa Yekonia+ mwanawe na Sedekia mwana wa Yekonia. 17 Wana wa Yekonia aliyekuwa mfungwa walikuwa Shealtieli, 18 Malkiramu, Pedaya, Shenazari, Yekamia, Hoshama, na Nedabia. 19 Wana wa Pedaya walikuwa Zerubabeli+ na Shimei; na wana wa Zerubabeli walikuwa Meshulamu na Hanania (na dada yao alikuwa Shelomithi); 20 naye alikuwa na wana wengine watano ambao ni Hashuba, Oheli, Berekia, Hasadia, na Yushab-hesedi. 21 Wana wa Hanania walikuwa Pelatia na Yeshaya; mwana* wa Yeshaya alikuwa Refaya; mwana* wa Refaya alikuwa Arnani; mwana* wa Arnani alikuwa Obadia; mwana* wa Obadia alikuwa Shekania; 22 na wana wa Shekania walikuwa Shemaya na wana wa Shemaya walikuwa Hatushi, Igali, Baria, Nearia, na Shafati—jumla ya wana sita. 23 Na wana wa Nearia walikuwa Elioenai, Hizkia, na Azrikamu, wana watatu. 24 Na wana wa Elioenai walikuwa Hodavia, Eliashibu, Pelaya, Akubu, Yohanani, Delaya, na Anani, wana saba.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki