Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • ll seh. ya 13 kur. 28-29
  • Tunapaswa Kufanya Nini ili Kumpendeza Mungu?

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Tunapaswa Kufanya Nini ili Kumpendeza Mungu?
  • Msikilize Mungu Uishi Milele
  • Habari Zinazolingana
  • Rafiki za Mungu Huepuka Mabaya
    Wewe Unaweza Kuwa Rafiki ya Mungu!
  • Je! Mungu Ataharibu Wabaya Tena?
    Furahia Milele Maisha Duniani!
  • Inakupasa Kufanya Nini?
    Furahia Milele Maisha Duniani!
  • Mazoea Ambayo Mungu Huchukia
    Mungu Anataka Tufanye Nini?
Pata Habari Zaidi
Msikilize Mungu Uishi Milele
ll seh. ya 13 kur. 28-29

SEHEMU YA 13

Tunapaswa Kufanya Nini ili Tumpendeze Mungu?

Epuka mambo mabaya. 1 Wakorintho 6:9, 10

Mambo ambayo Mungu anachukia​—kuiba, kulewa, kutumia dawa za kulevya, kupigana, kuabudu sanamu na mifano

Ikiwa tunampenda Yehova, hatutafanya mambo ambayo anachukia.

Yehova hataki tuibe, tulewe, au tutumie dawa za kulevya.

Mungu anachukia kuua, kutoa mimba, na ngono kati ya watu wa jinsia moja. Hataki tuwe wenye pupa au tupigane na wengine.

Hatupaswi kuabudu sanamu wala kuwasiliana na roho waovu.

Katika dunia itakayokuwa Paradiso, hakutakuwa na watu wanaofanya mabaya.

  • Mungu ana maoni gani kuhusu uchawi?​—Kumbukumbu la Torati 18:10-12.

  • Kwa nini hatupaswi kuabudu sanamu?​—Isaya 44:15-20.

Fanya mema. Mathayo 7:12

Mambo ambayo humpendeza Mungu​—kuwatendea wengine kwa upendo, kuwa wanyoofu na kuwasamehe wengine

Ili tumpendeze Mungu, tunapaswa kujitahidi kuwa kama yeye.

Waonyeshe wengine upendo kwa kuwa mwenye fadhili na mkarimu.

Uwe mnyoofu.

Uwe mwenye rehema na mwenye kusamehe.

Mashahidi wawili wa Yehova wanamhubiria mtu

Waambie wengine kumhusu Yehova na njia zake.​—Isaya 43:10.

  • Mwige Yehova.​—1 Petro 1:14-16.

  • Onyesha upendo.​—1 Yohana 4:7, 8, 11.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki