Yaliyomo
Mashahidi Wa Yehova
WAO NI NANI?
Somo la 1-4
Mashahidi wa Yehova wanapatikana katika nchi zaidi ya 240 na wanatoka katika jamii na malezi mbalimbali. Ni nini ambacho kimewaunganisha? Mashahidi wa Yehova ni watu wa aina gani?
UTENDAJI WETU
Somo la 5-14
Kazi yetu ya kuhubiri inajulikana sana. Pia, tunakutana kwenye Majumba ya Ufalme ili kujifunza Biblia na kuabudu. Mikutano hiyo hufanywaje, na ni nani wanaoweza kuhudhuria?
TENGENEZO LETU
Somo la 15-28
Tengenezo letu si shirika la kibiashara bali ni tengenezo la kidini la watu kutoka mataifa mbalimbali ambao wanamtumikia Mungu kwa hiari. Tengenezo hili limepangwa na linaongozwa jinsi gani? Na gharama zake zinalipiwaje? Je, kweli tengenezo hili linafanya mapenzi ya Yehova leo?