UJERUMANI (Wakati wa Utawala wa Wanazi)
(Ona pia Hitler, Adolf; Kambi za Mateso; Kanisa la Kiinjili Nchini Ujerumani; Maangamizi Makubwa [Enzi ya Wanazi]; Wanazi, Utawala wa)
(Kuna vichwa vidogo: Manukuu; Mashahidi wa Yehova)
Kanisa Katoliki:
hati We Remember: A Reflection on the Shoah: g99 6/22 30; g98 10/22 26-27
kasisi amsifu Hitler kwa kuwapinga Mashahidi: re 40; jv 659
kitabu The Catholic Church and Nazi Germany: re 270-271
laichochea serikali iwapinge Mashahidi: jv 659
lawashtaki Mashahidi kwa maofisa: re 270-271
liliunga mkono utawala wa Wanazi: re 237-238, 244
mapatano na Serikali ya Wanazi: re 237-238
Kanisa la Kilutheri:
lajisifu kwa kufaulu kuwachochea Wanazi wawapige Mashahidi marufuku: jv 659-660
Kanisa la Mormon: g96 1/8 28
makanisa yaliwatumikisha watu: g01 4/22 28
makasisi waliwaunga mkono Wanazi: re 39-40; w97 8/15 32
“Agano Jipya” lililosahihishwa: w97 10/1 19
mfalme wa kaskazini (Da 11:30, 31): dp 264-267
Milki ya Tatu: dp 265
Nzige:
raia hawakujali: g 10/12 27
“Spa Terezín” (Czechoslovakia): g 3/12 19-20
vikosi vya Hitler vyateka—
Austria: w05 5/1 24
Muungano wa Sovieti: yb08 86-87; g01 4/22 3-4
Vita vya Pili vya Ulimwengu:
mashine ya Enigma ya maandishi ya siri: g 8/09 26, 28
V-1 na V-2: g04 12/22 21
von Papen, Franz: re 237
Wanazi wapata mamlaka: re 237-238
Manukuu
Mashahidi wa Yehova:
hakuna kikundi kingine kilichopatwa na ukatili wa askari wa SS kama Wanafunzi wa Biblia: jv 553
hatimaye hata SS waliwaheshimu: jv 664
hawakushirikiana na Wanazi: re 39
hawakuwa na shaka juu ya msingi wao, kwa sababu imani yao ilikuwa imekuwa dhahiri tangu wakati wa Abeli: jv 664
hawa wachongewao na kudhihakiwa ndio waliosimama imara: w97 8/15 32
imani kwa Mungu na itibari katika ahadi za Biblia ziliwapa nguvu za kusimama imara: g97 6/22 15
imani thabiti: re 102
kani imara ya kimafundisho: jv 663
kikundi kidogo sana chenye nguvu za [adili] za daima: g98 11/22 13; jv 663
kipingamizi kikubwa zaidi kwa Wanazi kilikuwa msimamo wao wa kutokuwamo katika mambo ya siasa: g98 11/22 13; jv 194
mmoja kati ya kila Mashahidi wawili alifungwa gerezani, mmoja kati ya wanne alipoteza uhai: w96 2/1 6
msimamo wao ulikuwa na uvutano mzuri kwa wafungwa wengine: g 4/06 11
mwamba matopeni: w96 1/15 4
mwanga katika enzi yenye giza: g97 6/22 14
njia zilizokuwa zimetumiwa kwa muda mrefu za mnyanyaso, mateso, kufungwa gerezani na kudhihakiwa hazikuwafanya Mashahidi wageuke wawe na msimamo wa Nazi: jv 664
tunawakumbuka kwa staha sana watu hawa: g97 6/22 14
utawala ulishindwa na Mashahidi pekee: w01 7/15 19; jv 553
wajapokabiliwa na matatizo makubwa ajabu Mashahidi katika kambi walikutana na kusali pamoja, wakatokeza fasihi na kugeuza watu wafuate imani yao: jv 663
walikataa kuidhinisha au kuunga mkono utawala wa Wanazi: w00 9/1 32
walikataa kushirikiana kwa vyovyote na Utawala wa Wanazi: w04 2/15 6-7
walinyanyaswa kwa sababu ya kidini tu: jv 660
walishinda vita dhidi ya Unazi: jv 663
waliteta, tangu mwanzoni, kwa umoja, na kwa ujasiri mkubwa: g98 10/22 27
wana umoja na msimamo wa ujasiri unaofanya tuwaheshimu: w11 10/1 14
wao pekee walikinza Wanazi: w97 8/15 32
watu pekee ambao hawakukabiliana na hali hiyo kwa chuki bali kwa upendo: w96 1/15 4
wengi walihukumiwa kifo kwa kukataa kujiunga na utumishi wa kijeshi: g98 11/22 13; jv 194
wote waliowaona wakifa waliguswa moyo sana, na hata kikosi cha wauaji chenyewe kiliguswa moyo: jv 663
Mashahidi wa Yehova
alama ya pembetatu ya zambarau: w07 9/1 10; w06 2/15 32
azimio “Tangazo la Mambo ya Hakika” (1933): g99 9/8 30; g98 7/8 12-14
barua ambayo Rutherford alimwandikia Hitler: w01 3/15 9; jv 693
barua ambazo Mashahidi waliandika kabla tu ya kuuawa: w09 12/15 27; w07 7/15 31; w05 5/1 18; g03 2/8 18
barua zilizoandikiwa Hitler na serikali ya Hitler: w11 10/1 14; g03 1/8 31; w01 3/15 9; jv 315, 552, 693-694
chakula cha kiroho kiliandaliwa: re 21
‘hati ya kukana imani’ ilienezwa na Wanazi: w11 1/15 11; jv 660, 663
yaliyomo: jv 661
huduma ya shambani:
azimio lasambazwa (1933): jv 693
azimio lasambazwa (1936): w01 3/15 9; jv 448-449, 694
barua yasambazwa (1937): jv 448-449, 694
kambi za mateso: jv 659-665, 720
idadi ya Mashahidi: w07 10/15 32; jv 194
maelezo ya Mashahidi: w01 3/15 9; w96 1/15 4
watu waliookoka wawasifu Mashahidi: g 8/07 30; jv 664; w96 1/15 4
Kikosi Maalumu cha Gestapo cha kuwakomesha Mashahidi: jv 553
maelezo ya—
de Gaulle, Geneviève: jv 664
mwanahistoria Gabriele Yonan: w02 10/1 25
mwandishi Günter Grass: w07 10/15 32
Wayahudi: w11 4/15 21
makusanyiko:
Berlin (1933): g98 7/8 12-13
mapainia: jv 432
marufuku (1933): w97 5/1 25; jv 659-660, 693, 720
marufuku (1935): w01 3/15 9; jv 442, 659; w96 1/15 4
Mashahidi hawakuunga mkono siasa wala vita: w09 6/1 15; jv 194, 669; ba 25
Mashahidi walikataa kumtukuza Hitler: w04 12/1 25; jv 196, 669
mateso: w08 9/15 8; re 39-40, 102; w01 3/15 8-9; w00 4/1 19; g98 7/8 11; jv 442, 552-553, 659-665, 720
idadi ya Mashahidi waliofungwa na kuuawa: w07 10/15 32; w01 3/15 9; jv 194
Mashahidi wakamatwa: jv 553, 720
mauaji: w04 12/1 28
mwanamke aliyewaficha Mashahidi: g97 1/22 31
sababu ya mateso: w01 3/15 8-9; g98 7/8 11
vifungo vya gereza: w03 3/1 5; w97 5/1 25-27; w97 8/1 22
watoto watenganishwa na wazazi: w97 8/1 22
ndugu wahamia nchi za kigeni ili kutumika katika maeneo yenye uhitaji mkubwa:
ramani: jv 432
ofisi ya tawi:
Magdeburg (1933): g98 7/8 11; jv 586
simulizi la maisha la msichana ambaye wazazi wake waliuawa: w04 12/1 24-29
simulizi la maisha la ofisa wa SS: g 2/10 18-20
telegramu kwa serikali ya Hitler: w01 3/15 9; jv 315, 552, 693-694
tisho la Hitler: jv 552-553
uchapaji: w97 5/1 25
upinzani wa makasisi:
Kanisa Katoliki laichochea serikali iwapinge Mashahidi: jv 659
Kanisa Katoliki lawashtaki Mashahidi kwa Wanazi: re 270-271
Kanisa la Kilutheri laichochea serikali iwapinge Mashahidi: jv 659-660
uwongo wa kwamba Mashahidi walishirikiana na Wanazi: g05 10/22 10; g98 7/8 10-14
video kuhusu msimamo wa Mashahidi wakati wa Wanazi (Jehovah’s Witnesses Stand Firm Against Nazi Assault): w01 6/1 21; g97 6/22 14-15
vijana: w97 8/1 21-23
vitabu:
vyaingizwa kisiri: w04 12/1 26-27
vitabu vya ulimwengu vinavyowazungumzia Mashahidi:
A History of Christianity: jv 194
Betrayal—German Churches and the Holocaust: w00 9/1 32
Between Resistance and Martyrdom—Jehovah’s Witnesses in the Third Reich: w11 4/15 21
Commandant of Auschwitz: jv 663
Ideology of Death: w97 8/15 32
Imprisoned for Their Faith—Jehovah’s Witnesses in Auschwitz Concentration Camp: g 4/06 11
Kirchenkampf in Deutschland: re 102
Les Témoins de Jéhovah face à Hitler: w99 10/15 32
Mothers in the Fatherland: re 39
New Religious Movements: A Perspective for Understanding Society: jv 664-665
The Churches’ Response to the Holocaust: jv 194
The Nazi State and the New Religions: Five Case Studies in Non-Conformity: jv 553, 663
Values and Violence in Auschwitz: jv 663
walikataa kukana imani: w06 8/1 6; re 39; jv 660-661
tofauti na makanisa: w97 8/15 32
wasifiwa katika kijitabu kuhusu Jumba la Makumbusho la Maangamizi Makubwa (Marekani): w97 4/15 16
watu mbalimbali:
Alfermann, Joachim: w07 10/15 32
Bernhardt, Gottlieb na Inge: g 2/10 18-20
Dickmann, August: w00 5/1 32; jv 660
Franke, Konrad: jv 451
Franke, Max: jv 451
Frost, Erich: jv 268
Graichen, Rudolf: w97 8/1 20-23
Henschel, Horst: g98 2/22 12-14
Hombach, Maria: jv 451
Jess, Frieda: w03 3/1 5
Kusserow, familia ya: jv 449
Kusserow, Wolfgang: w08 7/1 22
Löhr, Elfriede: jv 450
Ludolph, Erna: w05 5/1 31
Müller, Charlotte: w97 5/1 25-27
Ott, Gertrud: jv 452
Partsey, Pyotr: yb08 112-113
Peters, August: jv 452
Poetzinger, Gertrud: jv 452
Poetzinger, Martin: jv 452, 661
Riet, Narciso: w05 6/15 32
Schurstein, Karl: jv 452
Seliger, Ernst: jv 452
Seliger, Hildegard: jv 452
Turpin, Anna Denz: w04 12/1 24-27
Unterdörfer, Ilse: jv 450
Wandres, Albert: jv 450
Winkler, Robert Arthur: jv 453
Zehden, Emmy: g97 1/22 31