ROHO, KUONGOZWA NA
(Ona pia Biblia, Usahihi wa; Maneno Yaliyoongozwa na Roho)
kama waandikaji wa vitabu vitakatifu vingine isipokuwa wa Biblia waliongozwa kwa roho ya Mungu: w97 1/15 32
“kutoa ushahidi kumhusu Yesu ndilo kusudi la unabii” (Ufu 19:10): w09 7/15 5; re 278-279
Biblia
jinsi roho takatifu ilivyoongoza katika kuandikwa kwa Biblia: w12 6/15 25-27; w03 7/1 14; lr 16-17; cl 182; gu 16; w97 6/15 4-5
daraka la roho takatifu: w12 6/15 26
maandishi ambayo hayajaongozwa na roho takatifu yanatofautiana: w12 6/15 27
maelezo: w12 6/15 25-28; w10 3/1 3-5; g 11/07 10-11; w97 6/15 3-8
uthibitisho wa kwamba Biblia ilipuliziwa na roho ya Mungu: w12 6/15 27-29; rs 34-37
habari ambazo hazipatikani kwa njia za mwanadamu: w97 6/15 5
hekima: w12 6/15 28; w09 5/1 5
unabii: g 5/12 15-18; g 6/12 12-14; g 7/12 22-24; g 8/12 18-20; g 9/12 13-15; g 10/12 26-28; w08 1/1 22-24; g 11/07 9
waandikaji waliandika kwa maneno yao wenyewe: w12 6/15 26-27; cl 182; w97 6/15 5-6
waandikaji walichagua habari kutoka katika vitabu vilivyokuwapo: w97 6/15 6