Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w13 3/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
  • Vichwa vidogo
  • TOLEO LA FUNZO
  • MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2013
w13 3/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Machi 15, 2013

© 2013 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. All rights reserved.

TOLEO LA FUNZO

APRILI 29, 2013–MEI 5, 2013

“Hakuna Kitu cha Kuwakwaza” Wale Wanaompenda Yehova

UKURASA WA 3 • NYIMBO: 45, 32

MEI 6-12, 2013

Je, Una ‘Moyo wa Kumjua’ Yehova?

UKURASA WA 8 • NYIMBO: 62, 60

MEI 13-19, 2013

Kwa Kuwa ‘Umemjua Mungu,’ Ufanye Nini Sasa?

UKURASA WA 13 • NYIMBO: 81, 135

MEI 20-26, 2013

Yehova Ni Makao Yetu

UKURASA WA 19 • NYIMBO: 51, 95

MEI 27, 2013–JUNI 2, 2013

Liheshimu Jina Kuu la Yehova

UKURASA WA 24 • NYIMBO: 27, 101

MAKALA ZA FUNZO

▪ “Hakuna Kitu cha Kuwakwaza” Wale Wanaompenda Yehova

Wakristo wote wako katika shindano la mbio za kupata tuzo la uzima wa milele. Lakini sote hujikwaa kwa sababu ya dhambi tuliyorithi. Makala hii itatusaidia kutambua mambo matano yanayokwaza na jinsi tunavyoweza kujilinda ili mambo hayo yasituzuie kushinda mbio.

▪ Je, Una ‘Moyo wa Kumjua’ Yehova?

Kitabu cha Yeremia kinatuambia mengi kuhusu moyo. Makala hii itatusaidia kuelewa maana ya ‘moyo usiotahiriwa’ na jinsi unavyoweza kuwa hatari hata kwa Wakristo. Pia, tunawezaje kuwa na ‘moyo wa kumjua’ Yehova?—Yer. 9:26; 24:7.

▪ Kwa Kuwa ‘Umemjua Mungu,’ Ufanye Nini Sasa?

Tunapaswa kuchukua hatua gani ili tumjue Mungu na ili atujue? Ni jinsi gani na kwa nini ukuzi wa Mkristo huendelea baada ya kufikia ukomavu wa kiroho? Makala hii itakusaidia kujibu maswali hayo.

▪ Yehova Ni Makao Yetu

Tunaishi katika ulimwengu ambao ni hatari kwa hali yetu ya kiroho, hata hivyo hatuhitaji kuogopa. Makala hii inaonyesha jinsi Yehova Mungu wetu alivyo makao salama zaidi.

▪ Liheshimu Jina Kuu la Yehova

Inamaanisha nini kuitwa kwa jina la Mungu? Inamaanisha nini kutembea katika jina hilo? Na Mungu anawaonaje wale wasioliheshimu jina lake? Makala hii inajibu maswali hayo.

PIA KATIKA TOLEO HILI

18 Pata Faraja na Uwafariji Wengine

29 Je, Kweli Yosefo Ndiye Aliyekiandika?

30 Usivunjike Moyo Kamwe!

JALADA: Nchi ya Finland ina eneo kubwa la pwani lenye visiwa vingi. Pia, kuna maelfu ya maziwa, hasa katikati na mashariki mwa Finland. Baadhi ya wahubiri hutumia mashua wanapoenda kuhubiri kwa muda katika maeneo yenye uhitaji mkubwa zaidi

FINLAND

IDADI YA WATU:

5,375,276

UWIANO:

Shahidi 1 kwa watu 283

MAPAINIA WA KAWAIDA:

1,824

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki