Yaliyomo
Aprili 15, 2015
© 2015 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
TOLEO LA FUNZO
JUNI 1-7, 2015
Wazee, Mna Maoni Gani Kuhusu Kuwazoeza Wengine?
UKURASA WA 3 • NYIMBO: 123, 121
JUNI 8-14, 2015
Jinsi Wazee Wanavyowazoeza Wengine
UKURASA WA 9 • NYIMBO: 45, 70
JUNI 15-21, 2015
Uhusiano Wako na Yehova Ni Halisi Kadiri Gani?
UKURASA WA 19 • NYIMBO: 91, 11
JUNI 22-28, 2015
UKURASA WA 24 • NYIMBO: 106, 49
MAKALA ZA FUNZO
▪ Wazee, Mna Maoni Gani Kuhusu Kuwazoeza Wengine?
▪ Jinsi Wazee Wanavyowazoeza Wengine
Kwa nini ni muhimu wazee wawazoeze ndugu wasio na uzoefu? Wanaweza kutumia njia gani ili wafanikiwe kuwazoeza wengine? Wazee na wale wanaozoezwa wanaweza kujifunza nini kutoka kwa Samweli, Eliya, na Elisha? Majibu ya maswali hayo yatazungumziwa katika makala hizi mbili.
▪ Uhusiano Wako na Yehova Ni Halisi Kadiri Gani?
▪ Mtegemee Yehova Sikuzote!
Uhusiano wenye nguvu pamoja na Yehova utatusaidia kuyashinda majaribu. Makala hizi mbili zitatuonyesha jinsi tunavyoweza kuimarisha uhusiano wetu na Yehova kwa kuwasiliana naye na kwa kumtegemea nyakati zote.
PIA KATIKA TOLEO HILI
14 Nilibarikiwa ‘Katika Majira Yanayofaa na Majira Yenye Taabu’
JALADA: Mzee akimzoeza mtumishi wa huduma kushiriki mahubiri ya hadharani katika Barabara ya Haiphong, huko Kowloon
HONG KONG
IDADI YA WATU
7,234,800
WAHUBIRI
5,747
MAFUNZO YA BIBLIA
6,382
180,000 na zaidi
Vigari vya kukokotwa, vibanda, na meza za machapisho zimenunuliwa kupitia ofisi ya tawi ya Hong Kong na kusambazwa duniani kote