Mikutano ya Utumishi wa Shambani
MEI 2-8
Matangulizi
1. Rudieni mambo matatu chini ya “Maelezo.” (rs uku. 9)
2. Wewe unapanga kusema nini?
MEI 9-15
Kutoa Maandikisho
1. Wewe utatoa makala zipi, na utatolea nani?
2. Kuna manufaa gani za kuwa na uandikisho?
3. Unaweza kuutoa kwa nani?
MEI 16-22
Umalizio
1. Tunawezaje kutoa umalizio wenye matokeo kwa utoaji wetu?
2. Ikiwa toleo linakataliwa, tunaweza kutoa nini?
3. Ikiwa hakuna kupendezwa kunakoonyeshwa, tunapaswa tumalizie jinsi gani?
MEI 23-29
Karatasi ya Nyumba kwa Nyumba
1. Wewe unaandika nini? Kwa nini?
2. Utatumiaje habari hii?
MEI 30-JUNI 5
Wewe
1. Utafanyaje ziara ya kurudia kwa mtu fulani aliyeahidi kuchukua uandikisho?
2. Utakaziaje habari za mazungumzo katika toleo la kichapo la Juni?
3. Utatumiaje Kichwa cha Mazungumzo cha sasa?