Mikutano ya Utumishi wa Shambani
APRILI 3-9
Wakati wa kutoa maandikisho
1. Utakazia makala gani kutoka Mnara wa Mlinzi?
2. Utaunganishaje toleo la uandikishaji na Kichwa cha Mazungumzo?
APRILI 10-16
Utangulizi unawezaje
1. Kuwa rahisi?
2. Kutumiwa katika maongezi?
3. Kurekebishwa upatane na kipingamizi cha mwenye nyumba?
APRILI 17-23
Utaitikiaje kipingamizi
1. “Tayari sisi ni Wakristo hapa”?
2. “Mimi sipendezwi”?
3. “Hatuna pesa”?
APRILI 24-30
Katika kufanya ziara za kurudia
1. Kwa nini uzuru ulipoangusha magazeti?
2. Kusudi letu la muhimu ni nini?
3. Utaanzishaje mazungumzo?