Mikutano ya Utumishi wa Shambani
FEBRUARI 4-10
Twaweza kuongezaje wakati katika utumishi wa shambani
1. Kila juma?
2. Wakati wa miisho ya juma?
3. Kwa mwezi mzima?
FEBRUARI 11-17
Wakati wa kutoa vitabu
1. Wewe utatumia mambo gani hasa ya kuzungumzia?
2. Ni vielezi gani unavyoweza kutumia?
FEBRUARI 18-24
Wakati wa kuzungumza na mwenye nyumba
1. Waweza kutumiaje maswali ili kumvuta katika mazungumzo?
2. Waweza kutumiaje vielezi kuamsha kupendezwa kwake?
FEBRUARI 25-MACHI 3
Wewe
1. Utaanzaje mazungumzo?
2. Utatoaje fasihi?