Mikutano ya Utumishi wa Shambani
JULAI 1-7
Kichwa Kipya cha Mazungumzo
1. Utatoaje utangulizi wa broshua “Tazama!”?
2. Utapatanishaje kichwa na broshua unayotumia?
JULAI 8-14
Unapotoa broshua
1. Kwa nini uwe na broshua zaidi ya moja?
2. Ni mambo yapi hususa utakazia?
3. Msingi wa funzo la Biblia waweza kuwekwaje?
JULAI 15-21
Kutumia utambuzi
1. Ni nini linaloweza kuamua utakaa mlangoni kwa muda gani?
2. Mwenye nyumba akiwa na shughuli, ungeweza kusema nini kufungulia njia ziara ya wakati ujao?
JULAI 22-28
Trakti zaweza kutumiwaje
1. Katika kujijulisha?
2. Mwenye nyumba anapokuwa na shughuli?
3. Kuanzisha funzo katika ziara ya kwanza?
JULAI 29-AGOSTI 4
Kufuatia kupendezwa
1. Kwa nini ni jambo la maana kuweka maandishi ya kupendezwa kulikoonyeshwa?
2. Ni mambo gani yanayoamua kama tutarudi?