Ratiba ya Juma Linaloanza Januari 25
JUMA LINALOANZA JANUARI 25
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waamuzi 5-7
Na. 1: Waamuzi 7:1-11
Na. 2: Tunawezaje Kumtambulisha “Yule Kahaba Mkubwa” Anayetajwa Katika Ufunuo 17:1?
Na. 3: Je, Yeyote Anaweza Kutoka Katika Sheoli au Hadesi (Kuzimu)? (rs uku. 155 ¶4–uku. 156 ¶2)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Toleo la Mwezi wa Februari. Pitia kifupi mambo fulani katika toleo hilo ambayo yanaweza kutumiwa katika huduma. Panga onyesho la jinsi mhubiri anayehubiri isivyo rasmi anavyoweza kutumia toleo la mwezi wa Februari kuanzisha funzo la Biblia.
Dak. 20: “Je, Unaahirisha Kuijaza?” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Yashughulikiwe na mzee. Panga onyesho ambapo mhubiri anamweleza daktari kusudi la kadi ya DPA au kadi ya AMD (Mwelekezo wa Mapema Kuhusu Tiba), kisha anamwomba aiweke katika faili yake ya matibabu. Daktari anaahidi kufanya hivyo. Kwa kumalizia, soma fungu la mwisho.