Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 8
JUMA LINALOANZA MACHI 8
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 1-4
Na. 1: 1 Samweli 2:18-29
Na. 2: Je, Yesu Alifundisha Kwamba Waovu Wanateswa Baada ya Kufa? (rs uku. 159 ¶5)
Na. 3: Biblia Inaonyesha Kwamba Yehova Anawapenda Watoto
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Je, Mwenye Nyumba Anakusikia Vizuri Unapohubiri? Hotuba inayotegemea habari katika kitabu Shule ya Huduma, kuanzia ukurasa wa 109, fungu la 2, hadi mwisho wa sura hiyo.
Dak. 20: “Kuonyesha Shukrani kwa Zawadi Bora Kutoka kwa Mungu.” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Baada ya kuzungumzia fungu la 3, pitia mipango ambayo imefanywa kwa ajili ya kusambaza mialiko ya pekee ya Ukumbusho katika eneo lenu. Mwombe painia msaidizi aonyeshe jinsi atakavyotoa mwaliko huo. Baada ya onyesho hilo, mwombe painia huyo aeleze jinsi alivyopanga mambo ili aweze kufanya upainia msaidizi, na jinsi ambavyo amenufaika kwa kufanya hivyo.