Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 31
JUMA LINALOANZA MEI 31
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 16-18
Na. 1: 2 Samweli 17:1-13
Na. 2: Kwa Nini Yesu Anaitwa “Bwana wa Sabato”? (Mt. 12:8)
Na. 3: Je, “Watakatifu” Wanaweza Kutuombea kwa Mungu? (rs uku. 262 ¶2-7)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: “Je, Umewahi Kuanzisha Funzo Katika Ziara ya Kwanza?” Hotuba. Baada ya kuzungumzia pendekezo katika makala, omba mhubiri aonyeshe jinsi ya kulitumia.
Dak. 20: “Jinsi ya Kuwazoeza Wahubiri Wapya Katika Utumishi.” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Baada ya kuzungumzia fungu la 5, panga onyesho kumhusu mzee wa kutaniko anayehubiri pamoja na mhubiri mpya. Yule mhubiri mpya anamhubiria mwenye nyumba, lakini hasomi andiko. Baada ya kuondoka mlangoni, mzee anamshauri kwa busara na fadhili mhubiri huyo mpya atumie Biblia mlangoni.