Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 5/10 uku. 6
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 31

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 31
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA MEI 31
Huduma Yetu ya Ufalme—2010
km 5/10 uku. 6

Ratiba ya Juma Linaloanza Mei 31

JUMA LINALOANZA MEI 31

Wimbo 114

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

cf sura ya 5 ¶9-15

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 16-18

Na. 1: 2 Samweli 17:1-13

Na. 2: Kwa Nini Yesu Anaitwa “Bwana wa Sabato”? (Mt. 12:8)

Na. 3: Je, “Watakatifu” Wanaweza Kutuombea kwa Mungu? (rs uku. 262 ¶2-7)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 35

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 10: “Je, Umewahi Kuanzisha Funzo Katika Ziara ya Kwanza?” Hotuba. Baada ya kuzungumzia pendekezo katika makala, omba mhubiri aonyeshe jinsi ya kulitumia.

Dak. 20: “Jinsi ya Kuwazoeza Wahubiri Wapya Katika Utumishi.” Mazungumzo kwa maswali na majibu. Baada ya kuzungumzia fungu la 5, panga onyesho kumhusu mzee wa kutaniko anayehubiri pamoja na mhubiri mpya. Yule mhubiri mpya anamhubiria mwenye nyumba, lakini hasomi andiko. Baada ya kuondoka mlangoni, mzee anamshauri kwa busara na fadhili mhubiri huyo mpya atumie Biblia mlangoni.

Wimbo 22

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki