Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • km 2/11 uku. 2
  • Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 21

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 21
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2011
  • Vichwa vidogo
  • JUMA LINALOANZA FEBRUARI 21
Huduma Yetu ya Ufalme—2011
km 2/11 uku. 2

Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 21

JUMA LINALOANZA FEBRUARI 21

Wimbo 97 na Sala

□ Funzo la Biblia la Kutaniko:

cf sura ya 18 ¶1-9 (Dak. 25)

□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

Usomaji wa Biblia: Nehemia 12-13 (Dak. 10)

Na. 1: Nehemia 13:15-22 (Isizidi dak. 4)

Na. 2: Kujitoa Kikamili kwa Yehova Mungu Kunamaanisha Nini?—Kut. 20:5 (Dak. 5)

Na. 3: Andiko la Yohana 5:18 Linamaanisha Nini?—rs uku. 433 ¶2-3 (Dak. 5)

□ Mkutano wa Utumishi:

Wimbo 133

Dak. 5: Matangazo.

Dak. 10: Yehova Hatawaacha Washikamanifu Wake. (Zab. 37:28) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka cha 2010, ukurasa wa 149, fungu la 1, hadi ukurasa wa 150, fungu la 3; na ukurasa wa 175, fungu la 2, hadi ukurasa wa 179, fungu la 4, bila kutia ndani sehemu ya mfuatano wa matukio. Baada ya kuzungumzia kila moja ya mambo yaliyoonwa, waombe wasikilizaji waeleze mambo ambayo wamejifunza.

Dak. 10: Umalizio Mzuri Katika Huduma ya Shambani. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 221, fungu la 6, hadi mwisho wa ukurasa wa 222. Onyesha kifupi jambo moja au mawili katika habari hiyo.

Dak. 10: “‘Kutoa Ushahidi Kamili’ Kuhusu Ufalme wa Mungu.” Maswali na majibu.

Wimbo 31 na Sala

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki