Ratiba ya Juma Linaloanza Februari 21
JUMA LINALOANZA FEBRUARI 21
Wimbo 97 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 18 ¶1-9 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Nehemia 12-13 (Dak. 10)
Na. 1: Nehemia 13:15-22 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Kujitoa Kikamili kwa Yehova Mungu Kunamaanisha Nini?—Kut. 20:5 (Dak. 5)
Na. 3: Andiko la Yohana 5:18 Linamaanisha Nini?—rs uku. 433 ¶2-3 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Yehova Hatawaacha Washikamanifu Wake. (Zab. 37:28) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka cha 2010, ukurasa wa 149, fungu la 1, hadi ukurasa wa 150, fungu la 3; na ukurasa wa 175, fungu la 2, hadi ukurasa wa 179, fungu la 4, bila kutia ndani sehemu ya mfuatano wa matukio. Baada ya kuzungumzia kila moja ya mambo yaliyoonwa, waombe wasikilizaji waeleze mambo ambayo wamejifunza.
Dak. 10: Umalizio Mzuri Katika Huduma ya Shambani. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 221, fungu la 6, hadi mwisho wa ukurasa wa 222. Onyesha kifupi jambo moja au mawili katika habari hiyo.
Dak. 10: “‘Kutoa Ushahidi Kamili’ Kuhusu Ufalme wa Mungu.” Maswali na majibu.
Wimbo 31 na Sala