Ratiba ya Juma Linaloanza Machi 14
JUMA LINALOANZA MACHI 14
Wimbo 101 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 1 ¶1-9, barua kwenye uku. 2 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ayubu 1-5 (Dak. 10)
Na. 1: Ayubu 3:1-26 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Mfano wa Binti za Selofehadi Unatufundisha Nini?—Hes. 36:10-12 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Miujiza Iliyofanywa na Yesu Inathibitisha Kwamba Yeye Ni Mungu?—rs uku. 434 ¶2-4 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Kumtumikia Mungu Hutajirisha. (Met. 10:22) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka cha 2010, ukurasa wa 225, fungu la 1, hadi ukurasa wa 226, fungu la 2; ukurasa wa 227-228; na ukurasa wa 232, fungu la 1, hadi ukurasa wa 233, fungu la 2. Baada ya kuzungumzia kila jambo lililoonwa, waombe wasikilizaji waeleze mambo ambayo wamejifunza.
Dak. 15: “Tufanye Yote Tuwezayo Kuonyesha Uthamini Wetu.” Maswali na majibu. Taja mipango ya Ukumbusho ya kutaniko lenu.
Wimbo 8 na Sala