Ratiba ya Juma Linaloanza Septemba 12
JUMA LINALOANZA SEPTEMBA 12
Wimbo 80 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 9 ¶8-18 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 120-134 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 124:1–126:6 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Ufalme wa Mungu Utaleta Upendo Ulimwenguni na Uhusiano Mzuri Kati ya Wanadamu na Wanyama—rs uku. 317 ¶3-5 (Dak. 5)
Na. 3: Tunawezaje Kudumisha ‘Jicho Rahisi’?—Mt. 6:22, 23 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo. Zungumzia “Habari Kuu za Utumishi” katika ukurasa wa 4. Wapongeze akina ndugu kwa kazi yao iliyochangia ripoti bora mwezi wa Aprili.
Dak. 10: Jinsi ya Kugusa Moyo—Sehemu ya 1. Hotuba inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 258 hadi ukurasa wa 260, fungu la 5. Panga onyesho fupi kuhusu jinsi ya kutumia jambo moja au mawili katika habari hiyo.
Dak. 10: Hujui ni Wapi Hii Itafanikiwa. (Mhu. 11:6) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2011, ukurasa wa 96, mafungu ya 1-2, na ukurasa wa 113, fungu la 1, hadi ukurasa wa 114, fungu la 3. Waombe wasikilizaji waeleze mambo ambayo wamejifunza.
Dak. 10: “Thamini Pendeleo Lako la Utumishi.” Maswali na majibu.
Wimbo 22 na Sala