Ratiba ya Juma Linaloanza Oktoba 10
JUMA LINALOANZA OKTOBA 10
Wimbo 44 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 11 ¶1-4, masanduku kwenye uku. 84, 86-87 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Methali 7-11 (Dak. 10)
Na. 1: Methali 8:1-21 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Mtu Akisema: “Ufalme wa Mungu Hautakuja Nikiwa Hai”—rs uku. 319 ¶4-5 (Dak. 5)
Na. 3: Kwa Nini Maandiko Yanatuonya Tusiwe ‘Waadilifu Kupita Kiasi’?—Mhu. 7: 16 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 15: Je, Umejaribu Kufuata Madokezo ya Huduma Yetu ya Ufalme? Mazungumzo. Zungumzia kifupi habari kutoka katika makala hizi za karibuni za Huduma Yetu ya Ufalme: “Unaweza Kushiriki Katika Huduma Siku ya Jumapili?” (km 5/11) na “Kutoa Ushahidi Barabarani kwa Njia Inayofaa” (km 6/11). Waombe wasikilizaji waeleze jinsi ambavyo wamejaribu kutumia madokezo katika makala hizo na jinsi ambavyo wamenufaika.
Dak. 15: “Msaidie Mwenye Nyumba Kufikiri.” Maswali na majibu. Baada ya kuzungumzia fungu la 3, panga kuwe na onyesho kuhusu mhubiri anayejibu kishupavu swali au kipingamizi cha kawaida, kisha onyesho lingine linaloonyesha akijibu swali hilo au kipingamizi hichohicho kwa kujadiliana na mwenye nyumba.
Wimbo 102 na Sala