Ratiba ya Juma Linaloanza Novemba 21
JUMA LINALOANZA NOVEMBA 21
Wimbo 53 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 13 ¶1-7, masanduku kwenye uku. 100, 103 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mhubiri 7-12 (Dak. 10)
Na. 1: Mhubiri 9:13–10:11 (Isizidi dak. 4)
Na. 2: Upendo Hauna Wivu—1 Kor. 13:4 (Dak. 5)
Na. 3: Ishara ya Siku za Mwisho Inawahusisha Wakristo wa Kweli kwa Njia Gani?—rs uku. 288 ¶4–uku. 289 ¶1 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Dak. 10: Matangazo. Sanduku la Swali. Hotuba.
Dak. 15: Mateso Yatokeza Ushahidi. (Luka 21:12, 13) Mazungumzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka—2011, ukurasa 153, fungu la 1; ukurasa 179, fungu la 1-2; na ukurasa 203, fungu la 2, hadi ukurasa wa 204 fungu la 7. Waombe wasikilizaji waeleze mambo ambayo wamejifunza.
Dak. 10: Toleo la Mwezi wa Desemba. Mazungumzo. Pitia yaliyomo katika vitabu vitakavyotolewa, kisha kuwe na onyesho moja au mawili ya jinsi ya kuvitoa.
Wimbo 35 na Sala